impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Watanzania sio wajinga tunajielewaSasa hivi wanachekwa hata na watoto kwenye kampeini kama hiyo ya Selasini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania sio wajinga tunajielewaSasa hivi wanachekwa hata na watoto kwenye kampeini kama hiyo ya Selasini
Bring back our 1.5 trillionTukana tuuu walamatusi hayaondoi wizi mnaotuibia kwa mgongo wa machangizoooo.
Hizo fedha jamaaa yenuu zitamtokea puani
Kwahiyo matusi yenu hayatatuzuia kuhoji matumizi ya sadaka zetu zinazotozwa kwa kulazimishwa kwenyee mandooo ya Rita 20.
Sisi sio malofa tunajitambua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alidhani Watanzania ni wapumbavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi huyo kwenye avatar yako kaacha kuropoka hovyo kwenye kampeni zake ,mkamateni mpimeni akilikumbe kilimanjaro nzima ni ccm basi ndo hao hao, hamna chenu pale! na mpite tena pale sasa mtanyooka vizuri
Tutamufunga hizo ni sera zetu chaumaBora angeandaa ubwabwa Tu ili nyomi limwagike
Bring back our 1.5 trillion
Demokrasia aliyoitafta ndio hioSafi sana ndio demokrasia hiyo naona ulinzi umeimarishwa ili watu wasikanyagane
Hhhhhhh mtie moyo tu hakuna mamnaHiyo ni kampeini ya nyumba kwa nyumba....(joking !)
Rombo kwenye jimbo lake analoliteteaSory mkuu hapo ndie yuko wapi
Kuwa mpole tushindane kwa hojahabari ikufikie chama cha wanafki
Wanafunzi watotoAlafu inaonekana waliohudhuria wengi sio wapiga Kura.
Naona umepagawa,pole yakomara mia huyu kuliko yule alierushiwa mawe
Vipi huyo kwenye avatar yako kaacha kuropoka hovyo kwenye kampeni zake ,mkamateni mpimeni akili
Anataka kutuongezea ndege na madaraja tena,Vipi huyo kwenye avatar yako kaacha kuropoka hovyo kwenye kampeni zake ,mkamateni mpimeni akili
Naona umepagawa,pole yako