Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Huyu chizi asije akaside na Sukuma Gang..
 
Asiongee pumba tu regarding to the political situation tuliyokuwa nayo sasa wiki hizi mbili tatu.
 
hahaha mshenga wa EL... mzee wa fursa kila penye fursa.....kuna upande una fursa ni wewe kujitoa akili tu....
 
Hii nchi kila mtu anazungumza tu! Tunaendeshwa kwa maneno maneno huku watu wanaweka Mambo yao dhahiri na kutuumiza tu!.
Muda Sasa WA kudhibiti hizi public address

Zinatoa mwanya Kwa wrong people kupata platforms
 
Ukumbi huu ndio Dokta mihogo aliandaliwa press na MaCCM, kuukana UKAWA.
Gwajima wamemuandalia nini, kuuikana sukuma GANG yake?!
 
Back
Top Bottom