Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Huyo hana akili niliachana mchumba wangu kwa kusali kwake na kutotaka kubadilika.. niliona mbaya future ya mtoto wangu, na niliapa wanangu lazima wasali kwenye kanisa la mnyororo..

Ila ktk hili la kwenda kumbagaza ndugai nipo pa1 nae.
Kwani Gwajima ana kanisa?
 
Anatarajiwa kuwa na mkutano na waandishi wa habari.
Full details

WA-IMG-20220106-b1520efb.jpg
 
Gwajima mzee wa kuchochea kuni. Alishaelewana na shemeji yake waziri wa afya? Au ndiyo anakuja kumlipua?
Gwaji alitishiwa kuundiwa tume ya kukagua ulipaji wa kodi kanisani kwake basi tangu siku hiyo kimyaaa
 
Upele umepata mkunaji.
Ndugai ajiandae kurudi upya India kutibiwa, safari hii asipoangalia bendera nusu mlingoti inatuhusu.
Gwajima hawezi kwenda against na Ndugaye maana yeye ndiyo admin wa hiyo group
 
Ccm wote ni nyumbu.. Haya yote yana fanywa kupotezea issue ya Mbowe.. Wote kwa sauti kubwa tuseme MBOWE SIO GAIDIIII... FREE MBOWE....
Mkuu suala la mh Mbowe ni muda tu maana wale wataoji mikopo ndiyo wanao lisimamia na tayari wamesha toa msimamo wao.

Muachieni mh Mbowe tuendelee kuwapatia mikopo
 
Yale yale ya namshukuru mama blaah,blaaah,Ndugai blaah blaah serikaliya sita imefanya blaah blaah.
Kesho anaamka mwehu mwingine anatuitisha tena press conference.
Kuna Mwijaku huko kwenye foleni.
 
Eeeee shemeji yake ni noma .Rais Samia baada yankisema anaandaa mkeka baadae alivosema Jamhuri ya muungano wa Tanzaniaaaaa kwa msisistizo .shemeji mtu aliruka hewani kuijibu .nilicheka hadi nikalia haki ccm wanapenda ulaji ni balaa
 
Back
Top Bottom