Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataongea kama chawa wa mamaAtaongea kama Askofu, Mbunge, au Mfanyabiashara Gwajima ?
Ameitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
Huyo hana akili niliachana mchumba wangu kwa kusali kwake na kutotaka kubadilika.. niliona mbaya future ya mtoto wangu, na niliapa wanangu lazima wasali kwenye kanisa la mnyororo..Ameitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
Ataongea kama chawa wa mama
Ataongea kama nireteeeeni gwaaajiiimaaaaAtaongea kama Askofu, Mbunge, au Mfanyabiashara Gwajima ?
Huyo hana akili niliachana mchumba wangu kwa kusali kwake na kutotaka kubadilika.. niliona mbaya future ya mtoto wangu, na niliapa wanangu lazima wasali kwenye kanisa la mnyororo..
Ila ktk hili la kwenda kumbagaza ndugai nipo pa1 nae.
Kesho ni ama atatangaza amefanya utafiti wa kutosha kuhusu chanjo ya Corona, chanjo ni salama, atachanja hadharani, ili litimie hili nenoAmeitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
Huyo askofu hana akili let me tell you ... Ndio atambagaza ndugai ila kwa maslahi yake.Yeye si wa legacy au kisha hama kambi?
Hiiiiiiii !
Najivunia sana wewe mzee.Atatangaza amefanya utafiti wa kutosha kuhusu chanjo ya Corona, chanjo ni salama, atachanja hadharani.
P.
IdiotAti wote kwa pamoja,wewe na Nani?
Isemee nafsi yako
Mimi naamini Mbowe Ni gaidi
Huyo askofu hana akili let me tell you ... Ndio atambagaza ndugai ila kwa maslahi yake.Mzee wa fulsa once again
Mungu anatuwazia yaliyo mema wala si mabaya.Upele umepata mkunaji.
Ndugai ajiandae kurudi upya India kutibiwa, safari hii asipoangalia bendera nusu mlingoti inatuhusu.
Fikiria vizuri utaona uko 100% true.We are witnessing the worst regime since the birth of Tanzania, and probably the worst 4 years we will ever have.