Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Josephat Gwajima kuliamsha dude kesho saa 5 asubuhi

Huyo hana akili niliachana mchumba wangu kwa kusali kwake na kutotaka kubadilika.. niliona mbaya future ya mtoto wangu, na niliapa wanangu lazima wasali kwenye kanisa la mnyororo..

Ila ktk hili la kwenda kumbagaza ndugai nipo pa1 nae.

Bila ya Ndugai kujibu mapigo haraka sana anavyogombewa watammaliza kwa kihoro 😁😁
 
Ameitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
Kesho ni ama atatangaza amefanya utafiti wa kutosha kuhusu chanjo ya Corona, chanjo ni salama, atachanja hadharani, ili litimie hili neno
, Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Au anatangaza kutupisha na kumlaani Amaleki kwa kuitesify Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

P.
 
Yeye si wa legacy au kisha hama kambi?

Hiiiiiiii !
Huyo askofu hana akili let me tell you ... Ndio atambagaza ndugai ila kwa maslahi yake.

Ndio kusema nchi inahitaji katiba mpya.. na sio ccm wala chadema

Tanzania ni kubwa kuliko vyama na personality.. watu wazima naomba mtambue.
 
Mzee wa fulsa once again
Huyo askofu hana akili let me tell you ... Ndio atambagaza ndugai ila kwa maslahi yake.

Ndio kusema nchi inahitaji katiba mpya.. na sio ccm wala chadema

Tanzania ni kubwa kuliko vyama na personality.. watu wazima naomba mtambue.
 
Upele umepata mkunaji.
Ndugai ajiandae kurudi upya India kutibiwa, safari hii asipoangalia bendera nusu mlingoti inatuhusu.
Mungu anatuwazia yaliyo mema wala si mabaya.
Siyo jambo jema kuwaza mabaya kwa Spika
 
Sijawahi kumwamini Askofu Rashid hata siku moja.
 
Back
Top Bottom