Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Ati wote kwa pamoja,wewe na Nani?Ccm wote ni nyumbu.. Haya yote yana fanywa kupotezea issue ya Mbowe.. Wote kwa sauti kubwa tuseme MBOWE SIO GAIDIIII... FREE MBOWE....
Huyu hata DNA zake ni Sukuma gang kabisaaaHuyu chizi asije akaside na Sukuma Gang..
Mtoto wa MarehemuTETESI: GWAJIBOY KESHO ANAKUJA KUTANGAZA KUACHIA UBUNGE RASMI!
Wewe huyo?! CCM huyoHahahaha nilishAsema Huyu awezi kuiongoza kawe.
Huyo ni sukuma gang kindaki ndakiHuyu chizi asije akaside na Sukuma Gang..
Muda Sasa WA kudhibiti hizi public addressHii nchi kila mtu anazungumza tu! Tunaendeshwa kwa maneno maneno huku watu wanaweka Mambo yao dhahiri na kutuumiza tu!.
Atamsifia Samia na kumponda Ndugai , huyu ni ChawaAmeitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
Kama mtu ana akili huwezi kuendelea kufanya kazi na hiyo serikali, ni aibu tu,TETESI: GWAJIBOY KESHO ANAKUJA KUTANGAZA KUACHIA UBUNGE RASMI!
Huo ndio ukweli,We are witnessing the worst regime since the birth of Tanzania, and probably the worst 4 years we will ever have.
Daaah! Worst ever!!! Umetua Tz lini kutokea utokeapo?We are witnessing the worst regime since the birth of Tanzania, and probably the worst 4 years we will ever have.
Atakuwa amefanya jambo la mbolea sanaTETESI: GWAJIBOY KESHO ANAKUJA KUTANGAZA KUACHIA UBUNGE RASMI!
Nani kakwambia? Anaendelea kusaga kunguni kea YustinoTETESI: GWAJIBOY KESHO ANAKUJA KUTANGAZA KUACHIA UBUNGE RASMI!