Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Haya Jose ila mbona mpaka unaondoka Dar hujanishtua mkuu[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]

Umekuja kimya kimya umeondoka kimya kimya.
 
Aaah wap hazirud [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Hahaha
Soma vizuri kabisaa comrade....

Ile siku nililia kikubwa mnoo jamanii.... Woooiii
Comrade......
Hii dunia ina mambo mengi sana aiseee.....
Naona kuna vijana wanazidi kumsakama Joseverest pamoja na kwamba amejitahidi kujieleza kwamba alikua katika mizunguko yake ya kawaida kwenye kutafuta ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…