Hahaha.. hatareeBora amerudi maana alisemwa sana bila evidences
Nyagei
Haya Jose ila mbona mpaka unaondoka Dar hujanishtua mkuu[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Sasa mkuu wewe ndio uko kwenye notification center ya Account yangu ya JF?? Jibu ni hapana... Taarifa ni nyingi mno zimezushwa sikatai ila nimefanya kuzifupisha tu ieleweke nisiwachoshe watu kwa thread ndeefu... Speed yangu ya kusoma naijua mwenyewe kwa hiyo usihofu.....hiyohiyo jana nilizisoma
Twin....hao ndio wabongo bana.Hivi kureply wa kwanza kwenye thread kuna kufanya uwe mtu wa usalama?
Walimwengu bhana...!!
Happy to see you back brooh..! [emoji123][emoji123]
Oky nafurahi kukuona tena humuuu mi nilipokukosa nikawa naona uvivu hata kuingia humu.....Lovely Sis...nimerudi aisee, mihangaiko ya maisha ilifanya nikapotea kwa muda..ila usijali your Lovely Bro nipo [emoji173]
Naona umeamua kuliamsha dude....[emoji263] [emoji263]TISS bwana...
Unachokitafuta humu utakipata trust me bwana mkubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu si unajua ubusy tu mkuu.Poa sana kamanda, ulipotea na wewe kiasi fulani
Heee.....[emoji15] [emoji15]Mara ya mwisho kuona coment ako ulikuwa maeneo fulani ya dodoma
Usiniulize nlikuonaje [emoji23]
Pengine hakuwahi kujua kwamba yeye ni celebrate humu jfUngetoa taarifa kwamba utakua offline 4 a month il kuepusha hayo yote.....I really missed u pale kwny first reply...
Welcome back bro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweza wakasema ulikuwa msitu wa pande..[emoji3][emoji3][emoji3]Twin....hao ndio wabongo bana.
Hahaha
Soma vizuri kabisaa comrade....
Comrade......Ile siku nililia kikubwa mnoo jamanii.... Woooiii
Pamoja na kujieleza alipo rejea.....Jeseverest mkuu sioni tofauti yako Deogratius Kisandu
salute Don..nawe pia
nimerejea
Huwezi kujua bado nipoHaya Jose ila mbona mpaka unaondoka Dar hujanishtua mkuu[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Umekuja kimya kimya umeondoka kimya kimya.