Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mjomba Meko kajichapishia fomu moja ya nafasi ya urais then kwenye ubunge zimechapwa fomu elfu kumi kwa kila jimbo.
Meko ni mbinafsi sana tena ni mwoga wa upinzani.
Imevunjia heshima amekuwa kama weweAlimuelewa Mheshimiwa JPM Mapema sana.
Jadili hoja usinijadili mimi!!Imevunjia heshima amekuwa kama wewe
Kijana lazima uwe karibu na vijanambona anangangania mkono wa huyo mdada.?
ghafla amekuwa mwana kuli-find mwana kuli-get
Nyie wana CHADEMA ndio mlimsaliti kwa kuendekeza maandamano badala ya maendeleoArumeru ipi? Mashariki au Magharibi? "Itoshe kusema" Hiyo laki aliyochukulia form ni bora angenunua Mask na "SANTAIZA" kujikinga na korona kuliko kuipoteza kwenye form.
Kwanini bwashee?Hao wameru wakimchagua watakuwa wamevuta ile bangi!
Type yakoJadili hoja usinijadili mimi!!
Katiba ya JMTz haizuii maandamano, uoga wenu tu.Dogo janja karibu CCM Kumenoga!
Eti kuna watu utasikia sijui msaliti sijui nini...wajibu kuwa wasaliti ni wao waliokataa maendeleo wakajikita kuhamasisha maandamano
Katiba ya JMTz haizuii maandamano, uoga wenu tu.Dogo janja karibu CCM Kumenoga!
Eti kuna watu utasikia sijui msaliti sijui nini...wajibu kuwa wasaliti ni wao waliokataa maendeleo wakajikita kuhamasisha maandamano
Mbona kina Bulaya, Mdee, Heche, Sugu, Matiko, prof.jay walikua wagombea pekee na wamepitishwa kwa kupigiwa kura za ndiyo na hapana au na hawa walijichapishia fomu moja.Yaani mjomba Meko kajichapishia fomu moja ya nafasi ya urais then kwenye ubunge zimechapwa fomu elfu kumi kwa kila jimbo.
Meko ni mbinafsi sana tena ni mwoga wa upinzani.
Kwa hiyo, kwa mujibu wa maelekezo ya yesu wa Burigi, itabidi rafiki yangu Mh John Palangyo amuachie ugombea, muhamiaji aliyejitangaza kwa kuchelewa?Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru.
Joshua Nassari aliwahi kuwa mbunge wa Arumeru kupitia tiketi ya CHADEMA na baadae alivuliwa ubunge na Speaker wa bunge kwa kosa la utoro. Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni
Lakini pia alichukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa kuvuliwa ubunge napo aliangukia pua baada ya kujikuta akishindwa kesi mahakamani na hivyo kupoteza ubunge wake. Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge
Baadae alichukua maamuzi magumu kama alivyoyaita na kuamua kuondoka CHADEMA na kuhamia chama cha Mapinduzi, ambako yupo mpaka sasa akiomba ridhaa ya kugombea ubunge tena kupitia CCM kwenye jimbo lilelile la Arumeru. News Alert: - Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa
View attachment 1509159
Mmemuingiza Choo cha kike huyo DOGO JINGA ,Wenzake kina Lipumba/Mrema/Cheyo wanayafanya haya kwakuwa umri ushakwenda sasa yeye ndio kwanza yupo early 30's halafu analeta usaliti/uchawi,ngoja kura za maoni atemeshwe ndoano kwanza UJINGA umtoke.Nyie wana CDM ndio mlimsaliti kwa kuendekeza maandamano badala ya maendeleo
Huyu dogo ni mlikole lakini wokovu wake sijui wa kiwapi, kauza jimbo, kadanganya yupo marekani na kujisahau kumbe ulikuwa mpango mahususi wa ccm, WOKOVU WA NASSARI MASHAKANIHuyu Joshua Nasari amekuaje had amechukua form ya kugombea ubunge Kwa ticket ya Ccm kabla hajajiunga uanachama? Wakuuu hiii imekaaje? Kuna mtu wake wa karibu kabisa huku meru kanitonya kuwa Nassari hana Kadi Ya Ccm, hajapewa Kadi, sasa hiii mbona inaleta ukakasi? Chama chetu cha mapinduziiii cha jenga nchii na kuleta mapyaaaaa