Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Ronald Reagan wa Marekani kabla ya Urais alikuwa Nani? Anold Schwizerniger kabla ya kuwa Senator wa California alikuwa Nani?Mafuasi ya Disco Jocker ndivyo mlivyo, Mtu akijitambua akaachana na Saccos yenu mnamletea.kejeli sana, kazi mnayo mwaka huu
Hii Sasa too much! Kila mtu anataka ubunge loh!
Basi tufanye Watanzania wote Ni wabunge Kisha tuanze kutangaza Nia Tena kugombea kuwa wananchi wa kawaida!
Malaya malaya wa kisiasa.Haka si kalisema hakajafuata vyeo CCM? Haka kajamaa sijui hata Chadema tulikaokota wapi? Kana tabia za wale wanaume wengine!
Utaombaje wakati mlisema fomu ni moja tuUliomba form ukanyimwa?
Basi dada usiteseke na membeDogo janja karibu CCM Kumenoga!
Eti kuna watu utasikia sijui msaliti sijui nini...wajibu kuwa wasaliti ni wao waliokataa maendeleo wakajikita kuhamasisha maandamano
Wa CCM akiachana na dhambi mnasema yupo kimkakatiMafuasi ya Disco Jocker ndivyo mlivyo, Mtu akijitambua akaachana na Saccos yenu mnamletea.kejeli sana, kazi mnayo mwaka huu
Maendeleo ya madaraja au sio?Nyie wana CHADEMA ndio mlimsaliti kwa kuendekeza maandamano badala ya maendeleo
Ameenda kujiunga apo apo na kuchukua fomuHuyu Joshua Nasari amekuaje had amechukua form ya kugombea ubunge Kwa ticket ya Ccm kabla hajajiunga uanachama? Wakuuu hiii imekaaje? Kuna mtu wake wa karibu kabisa huku meru kanitonya kuwa Nassari hana Kadi Ya Ccm, hajapewa Kadi, sasa hiii mbona inaleta ukakasi? Chama chetu cha mapinduziiii cha jenga nchii na kuleta mapyaaaaa
Bahati nzuri ni kuwa Nyerere na wengine aina yake hawakuwa na mitazamo ya kibinafsi kama yako. Mungu akubariki ili ubadilike.Ukishaandamana unalipwa or?? Fanyeni shughuli za kuwaletea kipato acheni ujinga
Acha kucheka kama kahaba kaombwa tigoUngejua namba ya kadi yake ya CCM usingepost....ha ha ha
DuhHii Sasa too much! Kila mtu anataka ubunge loh!
Basi tufanye Watanzania wote Ni wabunge Kisha tuanze kutangaza Nia Tena kugombea kuwa wananchi wa kawaida!
Punguza hasira uzoefu wa kicheko cha mumy wako unauanika humu?Acha kucheka kama kahaba kaombwa tigo
uomngo Heche hakuwa peke yakeMbona kina Bulaya, Mdee, Heche, Sugu, Matiko, prof.jay walikua wagombea pekee na wamepitishwa kwa kupigiwa kura za ndiyo na hapana au na hawa walijichapishia fomu moja.
Katafute taarifa zake vizuri. Alikua mgombea pekee alipata kura 268 sawa na 99.2% Kati ya kura 270 ziilizopigwa. Kura 2 ziliharibika.uomngo Heche hakuwa peke yake