Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru

Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru

Ungejua namba ya kadi yake ya CCM usingepost....ha ha ha
 
Mafuasi ya Disco Jocker ndivyo mlivyo, Mtu akijitambua akaachana na Saccos yenu mnamletea.kejeli sana, kazi mnayo mwaka huu
Rais Ronald Reagan wa Marekani kabla ya Urais alikuwa Nani? Anold Schwizerniger kabla ya kuwa Senator wa California alikuwa Nani?
 
Wananchi wa arumeru ni muda wa kumpa adhabu huyu kijana...hana adabu!!
 
Hii Sasa too much! Kila mtu anataka ubunge loh!

Basi tufanye Watanzania wote Ni wabunge Kisha tuanze kutangaza Nia Tena kugombea kuwa wananchi wa kawaida!

Daaah! Nisipo quote hii post yako nitakua sijaitendea haki. Kwamba tuanze kutia nia ya kuwa wapiga kura
 
Hapa Duniani Ni Ujanjaujanja Tu
Haki Iko Kwa Mungu Tu
Muda Huu Ni Wa Kusaka Tonge Haraka
 
Dogo janja karibu CCM Kumenoga!
Eti kuna watu utasikia sijui msaliti sijui nini...wajibu kuwa wasaliti ni wao waliokataa maendeleo wakajikita kuhamasisha maandamano
Basi dada usiteseke na membe
 
Huyu Joshua Nasari amekuaje had amechukua form ya kugombea ubunge Kwa ticket ya Ccm kabla hajajiunga uanachama? Wakuuu hiii imekaaje? Kuna mtu wake wa karibu kabisa huku meru kanitonya kuwa Nassari hana Kadi Ya Ccm, hajapewa Kadi, sasa hiii mbona inaleta ukakasi? Chama chetu cha mapinduziiii cha jenga nchii na kuleta mapyaaaaa
Ameenda kujiunga apo apo na kuchukua fomu
 
Ukishaandamana unalipwa or?? Fanyeni shughuli za kuwaletea kipato acheni ujinga
Bahati nzuri ni kuwa Nyerere na wengine aina yake hawakuwa na mitazamo ya kibinafsi kama yako. Mungu akubariki ili ubadilike.
 
Alisema hatoomba nafasi yoyote na yupo tayari kukitumikia chama. #Kigeugeu
 
Mbona kina Bulaya, Mdee, Heche, Sugu, Matiko, prof.jay walikua wagombea pekee na wamepitishwa kwa kupigiwa kura za ndiyo na hapana au na hawa walijichapishia fomu moja.
uomngo Heche hakuwa peke yake
 
uomngo Heche hakuwa peke yake
Katafute taarifa zake vizuri. Alikua mgombea pekee alipata kura 268 sawa na 99.2% Kati ya kura 270 ziilizopigwa. Kura 2 ziliharibika.
 
Back
Top Bottom