Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru

Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru

Nasari akiteuliwa na chama chake kugombea ubunge anachukua
Huyu nae akipitishwa na chama chake ubunge anachukua
IMG-20200717-WA0027.jpg


Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Njaa mbaya sana aisee, wamkate tu jina lake ndio aoene raha ya demokrasia ya CCM ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haka si kalisema hakajafuata vyeo CCM? Haka kajamaa sijui hata Chadema tulikaokota wapi? Kana tabia za wale wanaume wengine!
Umeona eeh! Halafu kila saa kujichekesha chekesha tuu, au ndio dental formula yake nini mi naona vibaya?
Hivi vivulana huwa ndio vinachapiwa na wanaume wenye misimamo yao.
 
Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru.

Joshua Nassari aliwahi kuwa mbunge wa Arumeru kupitia tiketi ya CHADEMA na baadae alivuliwa ubunge na Speaker wa bunge kwa kosa la utoro. Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

Lakini pia alichukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa kuvuliwa ubunge napo aliangukia pua baada ya kujikuta akishindwa kesi mahakamani na hivyo kupoteza ubunge wake. Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge

Baadae alichukua maamuzi magumu kama alivyoyaita na kuamua kuondoka CHADEMA na kuhamia chama cha Mapinduzi, ambako yupo mpaka sasa akiomba ridhaa ya kugombea ubunge tena kupitia CCM kwenye jimbo lilelile la Arumeru. News Alert: - Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa




View attachment 1509159
Woyooooooo....
Jembe atafanya kazi vizuri sana na jpm.
 
Haka si kalisema hakajafuata vyeo CCM? Haka kajamaa sijui hata Chadema tulikaokota wapi? Kana tabia za wale wanaume wengine!
Namuonea huruma tundu lissu, hata nyie wafuasi wake mmemsahau kumpigia chapuo. Yaani kasahulika kabisa.
 
Msaliti hawezi kuaminika sehem yoyote. Hata huko ccm sidhani kama atapenya
 
Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru.

Joshua Nassari aliwahi kuwa mbunge wa Arumeru kupitia tiketi ya CHADEMA na baadae alivuliwa ubunge na Speaker wa bunge kwa kosa la utoro. Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

Lakini pia alichukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa kuvuliwa ubunge napo aliangukia pua baada ya kujikuta akishindwa kesi mahakamani na hivyo kupoteza ubunge wake. Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge

Baadae alichukua maamuzi magumu kama alivyoyaita na kuamua kuondoka CHADEMA na kuhamia chama cha Mapinduzi, ambako yupo mpaka sasa akiomba ridhaa ya kugombea ubunge tena kupitia CCM kwenye jimbo lilelile la Arumeru. News Alert: - Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa




View attachment 1509159
Kadogo kapumbavu tu kanakenua meno yaliyooza kanafikir kanasupport katajuta maisha take yote kasubir mda utakaambia.
 
Dogo janja karibu CCM Kumenoga!
Eti kuna watu utasikia sijui msaliti sijui nini...wajibu kuwa wasaliti ni wao waliokataa maendeleo wakajikita kuhamasisha maandamano
Lumumba bhana huwa nawafananisha na wapumbav maana yote mapoyoyo.
 
Nasari ni mnafiki na hayawani. Tatizo siyo kujiunga na CCM wala kugombea, au kugombea kupitia CCM. Tatizo kubwa ni kwa nini uwe mwongo, upende kuendesha siasa za hila.

Kwa nini usisimame ukatamka wazi kuuelezea msimamo wako kuliko kutangatanga huku na kule ili kuwadanganya watu waamini kuwa amefukuzwa ubunge?

Alifanikiwa kuwadanganya wenye akili ndogo kama za kwake lakini wenye akili timamu wote walitambua toka mwanzo kuwa Nasari alikuwa amenunuliwa, akaamini ana akili kuwazidi mbuzi wenzake walionunuliwa kwenye mnada wa hadhara, kwa vile tu yeye manunuzi yalifanyika kwenye machungio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom