Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Dahh kuna watu wana akili ya ndoa, nimesoma kitu kwako.
 
Hata kunywa wine ukilewa unalala kesho ina mengine
Kabisa. Unaonaje ukimtafuta huyu mwanamke mwenzetu umpe ushauri huu? Maana inaonekana hana washauri wazuri.
 
Hamna kitu kinauma kama pale unapomuacha mke/mume ukitegemea kwamba atadhalilika na kuabika lakini mwenzako anamove on na maisha yake and then ndiyo anazidi kupaa juu kimaendeleo na kimaisha. Joyce anazidi kuchoka, nywele kama km manyoya ya kuku, sura imekakamaa km rough floor huku kamanda Kilewo anazidi kutoka shavu.
 
Mi nashangaa anavyoleta huku kwenye social media sasa toka.aanze kuandika sisi tumemsaidia nini zaidi ya kumshangaa
Hapo sasa na huyu Joyce ni aina ya wanawake Sana'a wadi finish a watoto na babazao.utakuta anawaambia watoto baba yenu hana kitu mm ndio namlisha ,namvisha ,nalipa kodi ya nyumba,nawalipia schools fees hapo mtoto lazima anyone babake boya hata akiongea kitu hamsikilizi
 
Kileo hapa ulichemka, huyu mwanamke hafai kabisa,

kila binadamu ana mapungufu usijaji sana kanakwamba wewe uko sahihi sana,mambo ya kifamilia kwelii kakosea kuanika mambo hadharani lakini usiseme amekosea,kesho ukikuta wanakumbatiana na kuzalishana watoto wengine nani atabaki mdomo wazi wewe au yeye??
 
Ila nilichofurahi zaidi ni Kilewo kuamua kukaa kimya, kaonyesha hekima ya hali ya juu sana, nafikiri huyu mbeijing alianzisha hii movement akitegemea majibizano na league kutoka kwa mmewe matokeo yake imekuwa tofauti kabisa ndio maana mnaona anazidi kuchanganyikiwa siku hadi siku.
 
Jana kwenye taarifa ya habari nimemuangalia kilewo kidole cha pete imebaki alama tu sijui kasha iuza kwa sonara kanywea bia [emoji23][emoji23] mdomo ulimponza kichwa atulie atapata kibenten chakuki lea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mganga hajigangi haihitaji elimu ya chuo kikuu kujua huyu anahitaji ushauri nasaha.
 
Sisi nyumbu tunajuwa kukalia chupi zetu, hakuna anaejua rangi yake. Mambo ya ndani ni chupi yako haitakiwi mtu aione zaidi ya mumeo.

MWANAMKE KALIA CHUPI YAKO
Mimi nina maneno lakini sidhani kama nikiyaweka hapa yatakuwa na uzito kama haya yako.
 
Aanzishe kikundi cha kusuta watu kinamfaa, kazi ya ushauri haimfai tena.
 
Back
Top Bottom