Joyce Kiria arudi kimya kimya kwa mumewe baada ya kumdhalilisha mitandaoni

Joyce Kiria arudi kimya kimya kwa mumewe baada ya kumdhalilisha mitandaoni

Mhhhh mtu anakwambia usiseme unasemaa bora hata ungeongea na mtu pembeni lakini mbioo kwenye shosho media. Hyo yote ni ulimbukeni ili uonekane ww ndo mshindi ndo maana ndoa inayumba hyo. Wewe joyce ni mshindani sana ndoa huiwezi
 
Huyu gadiel Michael mbaga Hana akili!
Hata kama lengo lilikuwa kumuita Joyce beki tatu huoni umemdhalilisha mtu hasiye husika dogo Gadiel Michael?

Sio fresh sio kabisa.
 
na kile kimbelefront ooh wanawake mnaweza!!!
WANAWAKE HAMUWEZI BILA WANAUME.!
 
Joyce Kiria ni mwanaharakati anayeyaishi maneno yake bila ya kuhofia yatamkosti kiasi gani. Anastahili heshima.
 
Niliwahi ambiwa na babu kuwa mwanamke si wa kuamini akanipa kisa flani hivi; kuna jamaa alikua akisumbuliwa na mbwa wa jirani yule mbwa alikua na tabia ya kuua vifaranga vya kuku sasa akawa anamwinda ili ikiwezekana amuue, siku moja kukiwa na kigiza akasikia kitu kinatikisa majani ya mahindi kuja kwake jamaa alipo sikia mahindi yanatikisika akachukua rungu akampiga nalo akijua ni mbwa wa jirani kumbe ni mtoto wa huyo jirani na akafa palepale.

Alipogundua kuwa alichopiga si mbwa bali ni mtoto wa jirani akakimbia kwenda kumwambia mkewe tukio, basi wakakubaliana wafiche maiti ili ikifika usiku sana wakautupe mbali ili isijulika mtoto kaenda wapi, wazazi wa yule mtoto walimtafuta mtoto wao bila mafanikio.
Ilipofika usiku wa manane wakakubaliana wakamzike mtoto mbali huko vichakani, walimzika wakarudi maisha yakaendelea. Kwa bahati nzuri jamaa akaenda akamsimulia ndugu yake kilichompata nae ndugu yake akamuuliza kama mkewe anajua nae akamkubalia huyo ndugu yake akamwambia kama Mke anajua basi afanye jitihada usiku tena akahamuamishe huyo marehemu akamzike sehemu nyingine mbali anayojua mwenyewe Kwa sababu mwanamke si wa kuamini.

Na jamaa akafanya alivyoelekezwa na ndugu yake, siku zikapita nyingi baada ya tukio siku moja kukatokea ugomvi jamaa akampiga mkewe mwanamke akakimbilia polisi kusimulia kila kitu.

Polisi wakamkamata jamaa na mwanamke akawapeleka hadi walipomzika huyo mtoto lakini hawakumpata.

Huyu kaambiwa asipost yeye mbiyo kupost.
Huwa nina 10% za kumuamini mwanamke katika maisha ya kila siku.

Ukimwamini ke wa kibongo 20% inatakiwa upimwe akili na mkojo tena umulikwe na CCTV camera.

1.Ishi naye kwa akili.
2.Mpende kwa kiasi chake.
3. Mhudumie kwa kadri ya kipato chako ili mambo yazidi kunoga(Mtunze haswaa)
4. Usimwamini wala kumwambia unamwamini hata kwa kutania.
 
Wanasema mwisho wa Mwanamke kutunza siri ni masaa 48 tu. Baada ya hapo utasikia aaah mie nasema
 
Shida ya huyu dada ni shule zero, akili zero, uzuri zero, kwa hiyo nyeti zake ndio zinapata taabu
 
Kama karudi ni vyema lakini chadema muwe na semina za kuwaeleza wabunge wenu kujifunza kutunza familia zao hasa wake zao
Hili ni LA chadema ila ndugu yangu kwa swala LA wanafake we acha tuu ni Pasua kichwa
 
Kama alifikia hatua ya kusema hapigwi hata mashine,huyu mwanamke kuna siku atakuja kusema mumewe ana kibamia....huyu dada ana waaibisha sana mabeki tatu wenzake
Anaweza akasema pengine bado ile ngozi asili bado ipo, na ndiyo inayomrudisha!
 
Mtu yeyote ambaye sio msanii wala hategemei mitandao kuingiza kipato anapokuwa anapenda sana kuongelea mambo yake ya ndani kabisa mitandaoni,huwa namshangaa sana.
Joyce hana Marafiki wa karibu au ndugu?Ndo vile ugonjwa wa kupenda attention na kujishow unamtesa.
Btw Hongera kwa kumrudia mmeo.Ndoa ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom