Joyce Kiria arudi kimya kimya kwa mumewe baada ya kumdhalilisha mitandaoni

Joyce Kiria arudi kimya kimya kwa mumewe baada ya kumdhalilisha mitandaoni

Mume kashamuelewa mwenzake....na mume ndiye hasa alitaka habari itoke....hilo la usipositi halikuwa sharti bali kipaza sauti cha mke kuuela umma kuwa mme sasa ni ' resiponsible'
====
Kuishi nao kwa akili.
 
akina Mama Sabrina hawa, hata akiliwa analeta hapa. hawa wanawake wenye udhaifu huu huwa na utamu na uchungu wao
Ashaambiwa asipost akapost....wanawake na hata wanaume usioe/usiolewe na mtu mwenye maisha ya mtandaoni kila kitu kupost mwishowe atapost vya ndani kabisa
 
Pole kilewo. Unayoyapitia mungu anajua. But why?????????. Hivi hujaona wanawake wengine huko?????. Kuna wanawake/Vibinti vinaadabu vinatamani ata mtu wa kumwambia umeamkaje hakuna. Anyway maamuzi ni yako mkuu. As long mnamakubaliano fine!!!
 
Kumbe wanawake hua inawauma roho sana kuhudumia familia? Sasa unasikia uchungu gani wakati watoto umewazaa mwenye yani chakula na ada ndo vilimtoa povu amakweli ukizaliwa na umasikini unakua na akili za kimaskini forever
 
Kilewo amejibebea zigo lake la misumari, kila mtu ana zigo lake, ila zigo la jamaa linamchoma mbaya.
Wako zaidi ya hivyo ..ila wako kimya...
Tunakoelekea ....wanawake watakuwa na ujinga ule ule wa wanaume wengi!
 
Hapa nimekuelewa mkuu hawa watu sijui akili zao zina nn ila kuna wanaume wa hivi pia
Niliwahi ambiwa na babu kuwa mwanamke si wa kuamini akanipa kisa flani hivi; kuna jamaa alikua akisumbuliwa na mbwa wa jirani yule mbwa alikua na tabia ya kuua vifaranga vya kuku sasa akawa anamwinda ili ikiwezekana amuue, siku moja kukiwa na kigiza akasikia kitu kinatikisa majani ya mahindi kuja kwake jamaa alipo sikia mahindi yanatikisika akachukua rungu akampiga nalo akijua ni mbwa wa jirani kumbe ni mtoto wa huyo jirani na akafa palepale.

Alipogundua kuwa alichopiga si mbwa bali ni mtoto wa jirani akakimbia kwenda kumwambia mkewe tukio, basi wakakubaliana wafiche maiti ili ikifika usiku sana wakautupe mbali ili isijulika mtoto kaenda wapi, wazazi wa yule mtoto walimtafuta mtoto wao bila mafanikio.
Ilipofika usiku wa manane wakakubaliana wakamzike mtoto mbali huko vichakani, walimzika wakarudi maisha yakaendelea. Kwa bahati nzuri jamaa akaenda akamsimulia ndugu yake kilichompata nae ndugu yake akamuuliza kama mkewe anajua nae akamkubalia huyo ndugu yake akamwambia kama Mke anajua basi afanye jitihada usiku tena akahamuamishe huyo marehemu akamzike sehemu nyingine mbali anayojua mwenyewe Kwa sababu mwanamke si wa kuamini.

Na jamaa akafanya alivyoelekezwa na ndugu yake, siku zikapita nyingi baada ya tukio siku moja kukatokea ugomvi jamaa akampiga mkewe mwanamke akakimbilia polisi kusimulia kila kitu.

Polisi wakamkamata jamaa na mwanamke akawapeleka hadi walipomzika huyo mtoto lakini hawakumpata.

Huyu kaambiwa asipost yeye mbiyo kupost.
 
Ashaambiwa asipost akapost....wanawake na hata wanaume usioe/usiolewe na mtu mwenye maisha ya mtandaoni kila kitu kupost mwishowe atapost vya ndani kabisa
Halafu alivyo mpumbavu anaandika tena hapohapo kwenye posti kwamba kaambiwa asiposti!! Si bora angemwambia hata kwa sms!!
 
Ha ha ha ha hatari

Hahahahaaa! Mwanawake ishi naye kwa busara. Anahitaji kusifiwa na kudanganywa, ukijidai wewe unaishi naye kwa heshima shauri yako
 
Back
Top Bottom