lord atkin
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 205
- 769
Kileo ni mbunge wa wapi mkuu?Kama karudi ni vyema lakini chadema muwe na semina za kuwaeleza wabunge wenu kujifunza kutunza familia zao hasa wake zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kileo ni mbunge wa wapi mkuu?Kama karudi ni vyema lakini chadema muwe na semina za kuwaeleza wabunge wenu kujifunza kutunza familia zao hasa wake zao
Amemaanisha Joyce ni beki tatu namba anayocheza Gadiel Michael Mbagahaha gadiel Michael mbaga si beki wa yanga??
Kuna huyu na Mh.Sugu..hawa hawakuoa wanawake walioa mijike...Kilewo amejibebea zigo lake la misumari, kila mtu ana zigo lake, ila zigo la jamaa linamchoma mbaya.
Wachache watakuelewa MkuuHuyu gadiel Michael mbaga Hana akili!
Ashaambiwa asipost akapost....wanawake na hata wanaume usioe/usiolewe na mtu mwenye maisha ya mtandaoni kila kitu kupost mwishowe atapost vya ndani kabisa
anajua utamu wa mkewe mbali na udhaifu wake, mwacheni apambane na hali yakeHuyu gadiel Michael mbaga Hana akili!
Na la sugu je? Mrwma naye alikuwaga na lakeKilewo amejibebea zigo lake la misumari, kila mtu ana zigo lake, ila zigo la jamaa linamchoma mbaya.
Wako zaidi ya hivyo ..ila wako kimya...Kilewo amejibebea zigo lake la misumari, kila mtu ana zigo lake, ila zigo la jamaa linamchoma mbaya.
Niliwahi ambiwa na babu kuwa mwanamke si wa kuamini akanipa kisa flani hivi; kuna jamaa alikua akisumbuliwa na mbwa wa jirani yule mbwa alikua na tabia ya kuua vifaranga vya kuku sasa akawa anamwinda ili ikiwezekana amuue, siku moja kukiwa na kigiza akasikia kitu kinatikisa majani ya mahindi kuja kwake jamaa alipo sikia mahindi yanatikisika akachukua rungu akampiga nalo akijua ni mbwa wa jirani kumbe ni mtoto wa huyo jirani na akafa palepale.
Alipogundua kuwa alichopiga si mbwa bali ni mtoto wa jirani akakimbia kwenda kumwambia mkewe tukio, basi wakakubaliana wafiche maiti ili ikifika usiku sana wakautupe mbali ili isijulika mtoto kaenda wapi, wazazi wa yule mtoto walimtafuta mtoto wao bila mafanikio.
Ilipofika usiku wa manane wakakubaliana wakamzike mtoto mbali huko vichakani, walimzika wakarudi maisha yakaendelea. Kwa bahati nzuri jamaa akaenda akamsimulia ndugu yake kilichompata nae ndugu yake akamuuliza kama mkewe anajua nae akamkubalia huyo ndugu yake akamwambia kama Mke anajua basi afanye jitihada usiku tena akahamuamishe huyo marehemu akamzike sehemu nyingine mbali anayojua mwenyewe Kwa sababu mwanamke si wa kuamini.
Na jamaa akafanya alivyoelekezwa na ndugu yake, siku zikapita nyingi baada ya tukio siku moja kukatokea ugomvi jamaa akampiga mkewe mwanamke akakimbilia polisi kusimulia kila kitu.
Polisi wakamkamata jamaa na mwanamke akawapeleka hadi walipomzika huyo mtoto lakini hawakumpata.
Huyu kaambiwa asipost yeye mbiyo kupost.
Halafu alivyo mpumbavu anaandika tena hapohapo kwenye posti kwamba kaambiwa asiposti!! Si bora angemwambia hata kwa sms!!Ashaambiwa asipost akapost....wanawake na hata wanaume usioe/usiolewe na mtu mwenye maisha ya mtandaoni kila kitu kupost mwishowe atapost vya ndani kabisa
Sawa dada yangumimi si mchaga kaka
Huendi mbinguniwe bana pesa tamu kwa kila mtu si wachaga pekee, akikosea mmoja/wawili it doesn't mean wote wakosefu, mi nawafahamu hao wachaga wastaarabu na wenye utu kunizidi hata mimi nsiye mchaga hahaa
Well spokenMwanaume kuwa na mwanamke aina ya Joyce inahitajika roho ya kifaru
😂😂😂Wewe huyo mumeo(kada mwenzako wa Ccm) alipewa semina ya kukutunza?