kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] naona masaa ya kutunza siri yame fika View attachment 904509
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] naona masaa ya kutunza siri yame fika View attachment 904509
Mbona naona siku hizi amebadilika sana.Niliwahi ambiwa na babu kuwa mwanamke si wa kuamini akanipa kisa flani hivi; kuna jamaa alikua akisumbuliwa na mbwa wa jirani yule mbwa alikua na tabia ya kuua vifaranga vya kuku sasa akawa anamwinda ili ikiwezekana amuue, siku moja kukiwa na kigiza akasikia kitu kinatikisa majani ya mahindi kuja kwake jamaa alipo sikia mahindi yanatikisika akachukua rungu akampiga nalo akijua ni mbwa wa jirani kumbe ni mtoto wa huyo jirani na akafa palepale.
Alipogundua kuwa alichopiga si mbwa bali ni mtoto wa jirani akakimbia kwenda kumwambia mkewe tukio, basi wakakubaliana wafiche maiti ili ikifika usiku sana wakautupe mbali ili isijulika mtoto kaenda wapi, wazazi wa yule mtoto walimtafuta mtoto wao bila mafanikio.
Ilipofika usiku wa manane wakakubaliana wakamzike mtoto mbali huko vichakani, walimzika wakarudi maisha yakaendelea. Kwa bahati nzuri jamaa akaenda akamsimulia ndugu yake kilichompata nae ndugu yake akamuuliza kama mkewe anajua nae akamkubalia huyo ndugu yake akamwambia kama Mke anajua basi afanye jitihada usiku tena akahamuamishe huyo marehemu akamzike sehemu nyingine mbali anayojua mwenyewe Kwa sababu mwanamke si wa kuamini.
Na jamaa akafanya alivyoelekezwa na ndugu yake, siku zikapita nyingi baada ya tukio siku moja kukatokea ugomvi jamaa akampiga mkewe mwanamke akakimbilia polisi kusimulia kila kitu.
Polisi wakamkamata jamaa na mwanamke akawapeleka hadi walipomzika huyo mtoto lakini hawakumpata.
Huyu kaambiwa asipost yeye mbiyo kupost.
Si beki tatu tena.Kama alifikia hatua ya kusema hapigwi hata mashine,huyu mwanamke kuna siku atakuja kusema mumewe ana kibamia....huyu dada ana waaibisha sana mabeki tatu wenzake
ni kule nyanda za juu kusini
Kumbuka ni hadithi alisimuliwa na babu.Ila kuna ushahidi wa shimo mkuu , na kama vipimo vikifanyika itajulukana palichimbwa pakazikwa mtu na kuhamishwa so jamaa anaweza kutwa na hatia[emoji1] [emoji1]
Alipaswa kuhoji any wayKumbuka ni hadithi asimuliwa na babu.
Sasa hadithi ukihoji si zote ni za uongo!Alipaswa kuhoji any way
Kuna nyingine kama kweli vile ujue dear eeeSasa hadithi ukihoji si zote ni za uongo!
mkuu unataka nikutajie mpk Surname yanguu, haya mimi ni akina ''Mwakinokia83'' huhuu, hapo vipi?Mbona unakuwa mchoyo hivyo
Ni mtambo wa stieglers gorge kabisa, nmemshusha vyeo kukaza kote kule kumekosa maana!Kilewo kama karudiana na huyu mwanamke atakuwa hana akili kbs
aiseeNiliwahi ambiwa na babu kuwa mwanamke si wa kuamini akanipa kisa flani hivi; kuna jamaa alikua akisumbuliwa na mbwa wa jirani yule mbwa alikua na tabia ya kuua vifaranga vya kuku sasa akawa anamwinda ili ikiwezekana amuue, siku moja kukiwa na kigiza akasikia kitu kinatikisa majani ya mahindi kuja kwake jamaa alipo sikia mahindi yanatikisika akachukua rungu akampiga nalo akijua ni mbwa wa jirani kumbe ni mtoto wa huyo jirani na akafa palepale.
Alipogundua kuwa alichopiga si mbwa bali ni mtoto wa jirani akakimbia kwenda kumwambia mkewe tukio, basi wakakubaliana wafiche maiti ili ikifika usiku sana wakautupe mbali ili isijulika mtoto kaenda wapi, wazazi wa yule mtoto walimtafuta mtoto wao bila mafanikio.
Ilipofika usiku wa manane wakakubaliana wakamzike mtoto mbali huko vichakani, walimzika wakarudi maisha yakaendelea. Kwa bahati nzuri jamaa akaenda akamsimulia ndugu yake kilichompata nae ndugu yake akamuuliza kama mkewe anajua nae akamkubalia huyo ndugu yake akamwambia kama Mke anajua basi afanye jitihada usiku tena akahamuamishe huyo marehemu akamzike sehemu nyingine mbali anayojua mwenyewe Kwa sababu mwanamke si wa kuamini.
Na jamaa akafanya alivyoelekezwa na ndugu yake, siku zikapita nyingi baada ya tukio siku moja kukatokea ugomvi jamaa akampiga mkewe mwanamke akakimbilia polisi kusimulia kila kitu.
Polisi wakamkamata jamaa na mwanamke akawapeleka hadi walipomzika huyo mtoto lakini hawakumpata.
Huyu kaambiwa asipost yeye mbiyo kupost.