Joyce Kiria arudi kimya kimya kwa mumewe baada ya kumdhalilisha mitandaoni

Mbona naona siku hizi amebadilika sana.
Siku za nyuma,mapenzi yakivyokuwa moto alikuwa akipigwa Dyudyu tu anapost insta anasifia show.

Atabadilika tu.Ni udhaifu fulani tu wa kupenda attention.Kuna watu hata wakijamba wanasimulia mitandaoni kwa strangers.
 
Ila kuna ushahidi wa shimo mkuu , na kama vipimo vikifanyika itajulukana palichimbwa pakazikwa mtu na kuhamishwa so jamaa anaweza kutwa na hatia[emoji1] [emoji1]
Kumbuka ni hadithi alisimuliwa na babu.
 
Jamaa alitakiwa kuhudumia kila kitu, halafu anamfungia tinted na Kuendelea na ishu zake. Maana kamvua nguo mitandaoni vya kutosha, mambo ya ndani unatangaza.

Hivi akija kufilisika ghafla si drama zilezile tu, maana hapo kilichomrudisha ni pesa na si mapenzi.
 
mwanaharakati mafi yangu,hapo ni mbesa baba mjini kugumu
 
...hizi ndoa za vyombo vya habari, zina shida sana!!!. Binafsi sioni haja ya kila jambo lako la kifamilia, uje utubwagie mitandaoni....huu ni uzwazwa na urimbukeni tu.

Watanzania tubadilike jamani, tufikie hatua ya kutambua kimapana "dhana ya neno, mtandao ?".....kwa kufanya hivyo, nadhani tutafika mbali.
 
Mambo ya ndani kuyaanika nje ni upungufu wa hekima na busara.
Mama kaona upweke umepitiliza kaona heri asarende
 
Asa joyce utaenda wapiii wanaume siku hzii wanataka vibinti vibichii,,,banana tu hapo kwa kilewo
 
Akiishiwa tena atarudi kupost kwamba "mwanaume mshenzi wewe,uliokota vijisenti ukalipa ada na kununua chakula,sasa umeishiwa umeanza kunitegemea tena,take your responsibility man"
Ingekuwa ni mm nisingemkubalia kurudi kwangu,ningewalipia wanangu ada kimya kimya,kila mtu akapambana na hali yake.
 
aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…