Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Chizi tu huyu!
 
Pumbavu saana, ukweli ni kua Kiria bado anasumbuliwa na wivu na mumewe, alimuacha kwa tambo bado unalia lia nini sasa, MWANAUME ni MWANAUME TU
 
Pumbavu saana, ukweli ni kua Kiria bado anasumbuliwa na wivu na mumewe, alimuacha kwa tambo bado unalia lia nini sasa, MWANAUME ni MWANAUME TU
Instagram katoa tena povu kumlilia mtu ni kumvimbisha kichwa aisee
 
Yaani mumewe kuchepuka na mmoja tu analalamika dunia nzima kwa page ndefu ya lawama. Ingekuwa ni ile enzi ya mitume waliokuwa na wake zaidi ya 10 huyu angejiua. Wanawake wabinafsi sana. Unataka uwe peke yako kwani wewe ni mama yake mzazi.
Acha kukashifu mitume..hawakufanya na wala hawakutegemea kwa matamanio yao bali ni kwa amri ya mwenyezi mungu
 
Tatizo umekuta muvi ipo kati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…