Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Ukimfatilia kule insta..inaonesha ana msongo wa mawazo
Msongo anajitakia mwenyewe maana wadau wanamchamba vibaya mno.
Anashindwa nini kumove on aendelee na maisha yake? Kama kweli anampenda Kileo angekaa kimya wakasolve mambo yao kimya kimya.
Na hata kama Kileo anataka kurudi kwa mke wake sidhani kama ataweza tena maana kila kitu chake kipo exposed, hakuna mwanaume anayevumilia huo ujinga.
 
Lazima achanganyikiwe na yote kasababisha yeye mwenyewe. asingeanika mambo ya mumewe mtandaoni nakwambia jamaa angekuwa amesharudi kwa mkewe. Anatumia uharakati wake vibaya. Kileo harudi leo wala kesho labda Joyce aamue kubadilika, ana tabia mbaya
Mi namuona kama kachanganyikiwa vile mwanaume anamrusha roho[emoji26]

Na huyo Moza mambo yake super sijui kama kilewo atabanduka leo or kesho!

Poor Joy
 
Hawa si walipatana juzi kati hapa?
Inamaana ndoa ishaumana tena?
 
Mi namuona kama kachanganyikiwa vile mwanaume anamrusha roho[emoji26]

Na huyo Moza mambo yake super sijui kama kilewo atabanduka leo or kesho!

Poor Joy
Lakini kuna kipindi alimuanika sana huyo kaka mabaya yake mitandaoni,
Kama aliona anaweza ishi bila yeye atulie tu.
Lakin kama hawezi akubali kushuka na aache kututangazia ya nyumbani kwake !
Matatizo ya ndoa hayasolviwi mtandaoni na watu walikua wanamchora tu wanamkomesha kwa kiherehere chake
 
Ila huruma asee....lkn nasikia alimfanyia vibaya first husband wake
 
Sijapata kuona mwanamke mpuuzi kama Joyce Kiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…