Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Hahahahaaa kweli ndoa haina chuo hawa watetea haki ukiwafata kwa matatizo yako ya ndoa wanakwambia omba talaka wao bado wanapambana na waume zao 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kwa Kilewo kashindwa asee.....na asipojirudi atapata kichaa soon!

Moza ni kisu balaa halafu ana mkwanja, na anamkubali jamaa kusalimia tu anapiga goti , mtoto heshima debe,sasa jamaa ataanzaje kurudi kwa Joy kimfano yaani?
Kumbeeee hata Kama mm ningekua dume sirudiii !!
 
Huyu kilewo nae fala tu,anahangaika nn na janamke lenyewe halina tako, limezeeka usoni, mwili mgum kama maksai af lina dharau
 
Hahahahaaa kweli ndoa haina chuo hawa watetea haki ukiwafata kwa matatizo yako ya ndoa wanakwambia omba talaka wao bado wanapambana na waume zao 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂

Umewahi kuwafuata?!
 
Acha zako, hatuna wapare wapuuzi mkuu! Kilewo ni mchaga

Wapare popular ni hawa: Vanessa Mdee, Joh Makini, Nikki wa Pilli, MIMI Mars, Jeff wa Speshoz, Ngozi TZ, Mr, Beneficial, Mmiliki Ki2ko clothing line, Halima Mdee and the list goes on,
Kilewo (si Kileo) ni MPARE mkuu. Next time Acha kufananisha wachaga na vitu vya kipuuzi
 
Mambo ya ndani yanapotupwa mitandaoni,kweli dunia imeendelea.Hapo anaangalia likes ili aone wanaomuunga mkono ili aendeleze vita vyake,anadai ameamua kumpenda Mungu kuliko mume wake ,sasa Mungu ndio anaruhusu aandike haya mambo ya ndani mtanadaoni?kwanini asiseme nae Mungu wake alio sirini ili amvushe kwenye haya matatizo..!
 
Ikifikia kuweka siri za nyumbani mtandaoni,ujue huyo mmama hana busara,hili nalo ni kosa sio kutuma picha za utupu tuu,mambo ya family yamalizwe kifamily,,,,TCRA this is not fair kosa la uzalilishaji,uyo mama awajibishwe
amemfanyia shambulio la aibu mtandaoni.
 
hahahaha Kamanda Kilewo acha unyooshwe na Kiria hahahaha
 
Back
Top Bottom