Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Halafu wanajiita chama cha demokrasia! Demokrasia ndio hii? Huyu mama anapewa ubunge kwa ajili ya maslahi bibafsi tu, hana mchango wowote kwa bunge na chama. Bora hata Mdee huleta changamoto ya matusi na mipasho.
Mkuu umenifurahisha sana hapo kwenye changamoto ya matusi na mipasho
 
Mkuu hapa tunaongea kwa facts, mambo ya Mange yaache huko huko instagram.
Hamna facts hapo,wote mnajadili watu binafsi na maisha yao,mngejikita katika kujadili ISSUES zenye maslahi kwa Taifa,mleta huu uzi hawezi kujitofautisha na huyu unayejaribu kumkana hapa,kwani bora yeye amejipambanua eneo lake(kuchambana/kusutana)!nadhani kwy hii forum na zijadiliwe issuez zenye maslahi mapana kwa taifa letu,badala ya kujadili kiongozi fulani anatembea na mwanamke fulani and bluh bluh bluh!
 
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.

List ni ndefu sana
Na Kunti Majala wa nani maana naona orodha yote unayo?
 
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.

List ni ndefu sana


Bila kuwasahau hawa

Anjela Kairuki .....

Ummy Mwalimu.....

Jenista Mhagama.....

Juliana Shonza .......

Mama Salma ..

Vicky Kawawa ...

Halima Bulembo ....

Wengine nimewasahau uhusika wao utajaza mwenyewe
 
Halafu wanajiita chama cha demokrasia! Demokrasia ndio hii? Huyu mama anapewa ubunge kwa ajili ya maslahi bibafsi tu, hana mchango wowote kwa bunge na chama. Bora hata Mdee huleta changamoto ya matusi na mipasho.
Fully nonsense
 
Hamna facts hapo,wote mnajadili watu binafsi na maisha yao,mngejikita katika kujadili ISSUES zenye maslahi kwa Taifa,mleta huu uzi hawezi kujitofautisha na huyu unayejaribu kumkana hapa,kwani bora yeye amejipambanua eneo lake(kuchambana/kusutana)!nadhani kwy hii forum na zijadiliwe issuez zenye maslahi mapana kwa taifa letu,badala ya kujadili kiongozi fulani anatembea na mwanamke fulani and bluh bluh bluh!
We utakuwa mgeni wa mambo, unadhani kwanini Rais anashambuliwa juu ya teuzi za kikanda. Unajua kuna athari gani kunapokuwa na nepotism!!
 
Habari wakuu,

Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.

Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.

Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.

Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.

Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?

Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.

Asanteni sana.
A simple mind ....
 
Hamna cha uzalendo wala nini, wote hujifanya wakereketwa ili wapate tu ulaji,nilishawahi kujitolea kwenye chama fulani, yaani wao kazi yao ni kulipana tu posho za vikao hewa, halafu wavunjivu wakubwa wa taratibu za fedha tofauti na wanavyojinadi bungeni na majukwaani, yaani wanafiki sana,
 
Halafu wanajiita chama cha demokrasia! Demokrasia ndio hii? Huyu mama anapewa ubunge kwa ajili ya maslahi bibafsi tu, hana mchango wowote kwa bunge na chama. Bora hata Mdee huleta changamoto ya matusi na mipasho.

Nampongeza sana Waziri Kairuki kua Waziri wa kwanza wa Madini Mwanamke. Namkubali pia Waziri wa Afya ni jembe. By fabulous
 
Huu ni umbea. Weka ushahidi wa ulichokinadi hapa.
Mukya.png
 
Bila kuwasahau hawa

Anjela Kairuki .....

Ummy Mwalimu.....

Jenista Mhagama.....

Juliana Shonza .......

Mama Salma ..

Vicky Kawawa ...

Halima Bulembo ....

Wengine nimewasahau uhusika wao utajaza mwenyewe
Ni aibu kubwa Mange kuwa chanzo cha habari zako (Angela, Ummy, Mhagama)
Shonza liko wazi ni mpiganaji ndo kumemfikisha hapo
Mama Salma - Nafasi 10 za Rais, hata Mbatia aliwahi kuteuliwa hapa.
Vicky Kawawa - Hakuna mbunge wa hivi
Halima Bulembo - Kagombea uwakilishi vijana Bukoba na kashinda.
 
MKIMALIZA KUWATAJA WA CDM TAJENI WA CCM.

MIMI NAANZA NA

1. Halima bulembo (mtoto wa alyekuwa mwenyekiti wazazi-CCM na meneja kampeni wa JPM)
2.
3.
4.
 
Wapo wengi tu, ukitaka kuwajua subiri wakati wa kampeni wanavyogombana kuongozana nae
 
Back
Top Bottom