Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.

List ni ndefu sana
cha muhimu tuwaombee kwa Mungu hao uliowataja kuwa ni mahawara wa nani sijui Kama wamepata ukimw kupitia hao waliowapa favor kwa kutafuta ubunge viti maalumu Mungu awape nguvu ya kuishi kwa matumaini .
 
Sawa na tuambiane hapa sasa ni kiongozi(mwenyekiti) wa chama gani anaweza kubaki salama katika hili(ngono /kuhonga vyeo)!?
Kwakweli ni aibu kubwa, kuhonga sana ahonge ila kwa mwanasiasa mama active.
 
Usitupe mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo hakika unayemtupia akirudishia utapata hasara kubwa.
Kabla ya kuanzisha thread kama hizi mjiulize "wakiamua kujibu wataandika nini?"
Mbowe ni kiongozi wa chama cha upinzani na hayo kama kayafanya kweli ni makosa makubwa na tayari yanamuondolea credibility ya kuweza kuomba uongozi wa nchi.
Hebu tuangalie ikiwa makosa kama haya yamefanywa na mwenyekiti wa chama lakini kilichobahatika kushika uongozi nini impact yake (tunaongozwa na mtu asiye muadilifu).
Kwetu Africa si jambo kubwa sana lakini nakumbuka ya kuwa Jenerali wa jeshi la America alivuliwa cheo kwa kuonekana katika klabu ya mashoga.
Mbowe kafanya makosa lakini kumshambulia kunafungua milango kwa "machizi" kuweza kuwashambulia watu walio na heshima kubwa katika jamii/taifa letu.
Ni busara kidogo tu!!!
Mkuu sasa nimemshambulia kwa kuweka facts, sioni ubaya maana huyu ni public figure.
 
Hakuna ubaya wowote .hii mambo binafsi aituusu
Mkuu una akili kweli ya kung'amua mambo? Suala la mwenyekiti kuhonga uongozi kwa kimada tena huku mke wake akiwa anajulikana unaona ni suala binafsi.
 
Napinga kumnyanyapaa Joyce Mukya ukimya wake waweza kuwa una mengi mtu hadi kuzaa ina maana waliyezaa naye siku hiyo walikuwa peku peku bila kinga yoyote iwe condom au chochote sasa huyo aliyempa mimba awe mbowe au yeyote Kama alimwachia maradhi kwa kugoma kutumia kinga mnataka awe mwongeaji? Sana Sana anahitaji maombi hata akihongwa ubunge na kujengewa migorofa kumpoza kwa migonjwa aliyoachiwa haoni raha yoyote zaidi ya kulia kila siku .Msimlaumu tu
Hakuna anayemnyanyapaa, hapa nimeongelea Nepotism chadema, kuna wadada wafia chama ila kila uchaguzi wanatupwa kapuni na ubunge vitu maalum wanapewa vimada.
 
Mkuu tuna usajili mpya wa JOKATE kachukua juzi tu kadi kapanda vyeo fasta sisi uvccm kitambo tunapigania chama tupo tu stay tuned mwakan mbunge wa viti maalumu
Nani kakuambia Jokate ni usajili mpya? Jokate kitambo sana ypo chamani. Utakuwa bavicha hujui ya uvccm.
 
Bora hiyo nafasi ya Mukya angepewa mwanadada mpiganaji Ndibalema, sasa hivi kajikatia tamaa kwasababu chama hakioni juhudi zake badala yake wanateua wabunge viti maalum kwa mahaba binafsi.

Kuna huyu alikuwa jumuia ya wazazi, na mwanawe unawaongeleaje?
 
Ahsante kwa taarifa tunasubiri listi nyingine BAC SAWA
List ndefu sana mkuu
Kuna
Susan Massele - Mke wa msemaji wa Chama Tumaini Makene.
Jesca Kishoa - Kafulila
Kuna mke/kimada wa Saed kubenea nikikumbuka jina nitaweka.
 
Sawa na tuambiane hapa sasa ni kiongozi(mwenyekiti) wa chama gani anaweza kubaki salama katika hili(ngono /kuhonga vyeo)!?
Kama unao wengine na taarifa zao wataje mkuu kama jamaa alivyomtaja na maelezo kayatoa kuhusu mwenyekiti wetu.
 
List ndefu sana mkuu
Kuna
Susan Massele - Mke wa msemaji wa Chama Tumaini Makene.
Jesca Kishoa - Kafulila
Kuna mke/kimada wa Saed kubenea nikikumbuka jina nitaweka
We hodari kwa listi mbona listi ya huko uko kimya au ///////// bac sawa
 
Kama unao wengine na taarifa zao wataje mkuu kama jamaa alivyomtaja na maelezo kayatoa kuhusu mwenyekiti wetu.
Wenyewe macho hambiwi tazama na mwenye masikio hambiwi sikia....siku hizi wanaosema kweli wanatekwa na wengine kupigwa risasi!Kila mtu mwenye akili timamu sasa hv anaishi kwa tahadhari kubwa sn sasahv!
 
Kuna huyu alikuwa jumuia ya wazazi, na mwanawe unawaongeleaje?
Nadhani unamaanisha the Bulembos
Iko hivi na usome kwa umakini...

Halima Bulembo ni mbunge Viti Maalum kupitia UVCCM mkoa wa Kagera, bahati nzuri wakati wa kumpigia kura nilikuwa Bukoba kwa hiyo huyu alichaguliwa na UVCCM. Wema Sepetu, Iren Uwoya nadhani unakumbuka waliangukia pua.

Alhaji Bulembo - Yeye kachaghuliwa na Rais, kumbuka si kwa kofia ya Uenyekiti wa Chama. Rais ana nafasi 10 za wabunge atakaoona wanafaa. Kumbuka hata Mbatia pamoja na kuwa mwana NCCR aliteuliwa na Rais Kikwete kuwa mbunge.

Nadhani hoja yako imejibika vyema.
 
Jichunguze kwanza mwenyewe kama ni msafi kabla ya kumsema mwenzako!!!
 
Hamna facts hapo,wote mnajadili watu binafsi na maisha yao,mngejikita katika kujadili ISSUES zenye maslahi kwa Taifa,mleta huu uzi hawezi kujitofautisha na huyu unayejaribu kumkana hapa,kwani bora yeye amejipambanua eneo lake(kuchambana/kusutana)!nadhani kwy hii forum na zijadiliwe issuez zenye maslahi mapana kwa taifa letu,badala ya kujadili kiongozi fulani anatembea na mwanamke fulani and bluh bluh bluh!
Mbona Anna Abdalla na Pius Msekwa na Rashid Kawawa Kikwete kazaa na Viki Kamata
 
Hivi hamna mengine ya kuandika humu?Tafuteni habari za uchumi kilimo elimu michezo nazo muandike.fanyeni utafiti wa mambo hayo.msing'ang'ane na shilawadu.
 
Back
Top Bottom