Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Kuna wakati naona ccm ina unafuuu kuliko chadema..! Zimwi likujualo chadema bhana nyie hamuaminiki mnajua..
Wote mliodhulimiwa haki yenu Mungu yupo yawezekana machozi yenu ndio yalifanya chadema isishinde uraisi uchaguzi uliopita. Sababu walipora haki ya mnyonge anayestahili ili wawape wasio na sifa. Mwachieni Mungu anajua cha kuwafanyia waliodhulumu haki za wengine atawashughulikia Wao
 
Hii kitu kwenye hii nchi ya wanafki siku tukiielewa comment yako. Tukapambana kujiweka sawa kwenye maisha yetu ya kila siku nakuacha kutumia nguvu nyingi kumtetea mwanasiasa. WaTZ tutafika mbali sana.
Mnoo chief.. watu wanajitia upofu tu, kisa wanapenda mtu au chama fulani, hata kama kaboronga atatoka mishipa ya shingo kutetea, na wanasiasa wanajua kama wafuasi wao ni machiz, wanatumia hii km advantage.
 
Wote mliodhulimiwa haki yenu Mungu yupo yawezekana machozi yenu ndio yalifanya chadema isishinde uraisi uchaguzi uliopita. Sababu walipora haki ya mnyonge anayestahili ili wawape hawara zao. Mwachieni Mungu anajua cha kuwafanyia maruhuni waliodhulumu haki yenu Wao na hawara zao
Akuu mimi niko na mahututi wetu ccm..!
 
Chadema matapeli sometime..! Ila ssm ni wezi kabisa...!
 
Kuna wakati naona ccm ina unafuuu kuliko chadema..! Zimwi likujualo chadema bhana nyie hamuaminiki mnajua..
Nepotism chadema ni kubwa mno tundu Lisu na kujitia mtetezi sana viti maalumu singida alimpa Dada yake
 
Nani kakuambia Jokate ni usajili mpya? Jokate kitambo sana ypo chamani. Utakuwa bavicha hujui ya uvccm.

Shukuru mungu sio Mungu sina muda wa kuendelea na topic za kijinga ningekuwekea ushahid wa jokate alipojiunga uvccm mwaka jana mwez unaofuata yupo ofis moja na shaka
 
Nepotism chadema ni kubwa mno tundu Lisu na kujitia mtetezi sana viti maalumu singida alimpa Dada yake

Hawa ghasia,kawawa,makamba,celina combani,mama salma,sitta,le mutuz family,mwinyi,liz 1,wazir wa fedha aliefia south kampa mtoto wake huko iringa,

Ccm inawenyewe
 
Hawa ghasia,kawawa,makamba,celina combani,mama salma,sitta,le mutuz family,mwinyi,liz 1,wazir wa fedha aliefia south kampa mtoto wake huko iringa,

Ccm inawenyewe
Anzisha maada yako basi
 
MKIMALIZA KUWATAJA WA CDM TAJENI WA CCM.

MIMI NAANZA NA

1. Halima bulembo (mtoto wa alyekuwa mwenyekiti wazazi-CCM na meneja kampeni wa JPM)
2.
3.
4.

CCM huko tumeshazoea, hakuna demokrasia, madikteta. Sasa kumbe hata wale wanaojifanya wana demokrasia kumbe demokrasia yao ya chupi tu, yaani demokrasia ya chupi kwa kiingereza kibovu ni underwear democracy. The party of underwear democracy!
 
Hawa ghasia,kawawa,makamba,celina combani,mama salma,sitta,le mutuz family,mwinyi,liz 1,wazir wa fedha aliefia south kampa mtoto wake huko iringa,

Ccm inawenyewe
Two wrongs don't make a right Kama kazi ya upinzani ni copy and paste Ya CCM basi hakuna haja kuchagua upinzani ni kuendelea na CCM wanako copy na ku paste
 
Two wrongs don't make a right Kama kazi ya upinzani ni copy and paste Ya CCM basi hakuna haja kuchagua upinzani ni kuendelea na CCM wanako copy na ku paste

Tunakuonesha mziz wa uchafu na kukuonesha jins taifa lilivyogeuzwa la kichifu huko ccm wakina mwinyi,kikwete,makamba,william n.k upinzania hawajakop hiyo kitu
 
Du maccm yamejipanga kwe uzi huu Lakini yanasahau kuna mwanamke (mama Kija) kaongwa madini ya nchi
 
Back
Top Bottom