[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu maalum vitamu sanaHuyo ndo amemaliza ruzuku ya chama, mkt huwa anawasilisha yote kwake ndo anaipangia matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu maalum vitamu sanaHuyo ndo amemaliza ruzuku ya chama, mkt huwa anawasilisha yote kwake ndo anaipangia matumizi
Wamehamia Nairobi nimemwona mwenyekiti juzi kaja likizo kumwona joy nkya na frying to KIA halafu anarudi tena ruzuku inateketea tu.Hadi wameshindwa kukarabati makao makuu, angalau kupaka rangi mpya tu.
Ila kumbuka mwenyekiti ni public figure akwepeki na makando kando yake pia ni aibu kuonga ubunge wa viti maalum.Hamna facts hapo,wote mnajadili watu binafsi na maisha yao,mngejikita katika kujadili ISSUES zenye maslahi kwa Taifa,mleta huu uzi hawezi kujitofautisha na huyu unayejaribu kumkana hapa,kwani bora yeye amejipambanua eneo lake(kuchambana/kusutana)!nadhani kwy hii forum na zijadiliwe issuez zenye maslahi mapana kwa taifa letu,badala ya kujadili kiongozi fulani anatembea na mwanamke fulani and bluh bluh bluh!
Jamaa ni noma
Sawa na tuambiane hapa sasa ni kiongozi(mwenyekiti) wa chama gani anaweza kubaki salama katika hili(ngono /kuhonga vyeo)!?Ila kumbuka mwenyekiti ni public figure akwepeki na makando kando yake pia ni aibu kuonga ubunge wa viti maalum.
Bora hiyo nafasi ya Mukya angepewa mwanadada mpiganaji Ndibalema, sasa hivi kajikatia tamaa kwasababu chama hakioni juhudi zake badala yake wanateua wabunge viti maalum kwa mahaba binafsi.
Usitupe mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo hakika unayemtupia akirudishia utapata hasara kubwa.Habari wakuu,
Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.
Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.
Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.
Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.
Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa
Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?
Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.
Asanteni sana.
Hii kitu kwenye hii nchi ya wanafki siku tukiielewa comment yako. Tukapambana kujiweka sawa kwenye maisha yetu ya kila siku nakuacha kutumia nguvu nyingi kumtetea mwanasiasa. WaTZ tutafika mbali sana.Ndio maana siasa sipend hata kusikia.. wanasias ni kama wanaume n wale wanaoongozwa ni kama mademu
Sisi wanaume tukiwa tunataka mzigo tutafanya kila hila mpaka tuchimbue palipochimbika, hata km muhuni utajitia mwema, unaweza mtambulisha mpaka kwa dada au washkaji zako, kila hila utatumia kutegemea na upinzani unaopata, kwa wale walioupitia umalaya wananielewa vizur..
Sasa ndio wanasiasa walivyo, waongo na wanafiki, hamna mwema, kila mtu na masilahi yake..[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hakuna ubaya wowote .hii mambo binafsi aituusuHabari wakuu,
Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.
Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.
Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.
Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.
Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa
Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?
Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.
Asanteni sana.
Napinga kumnyanyapaa Joyce Mukya ukimya wake waweza kuwa una mengi mtu hadi kuzaa ina maana waliyezaa naye siku hiyo walikuwa peku peku bila kinga yoyote iwe condom au chochote sasa huyo aliyempa mimba awe mbowe au yeyote Kama alimwachia maradhi kwa kugoma kutumia kinga mnataka awe mwongeaji? Sana Sana anahitaji maombi hata akihongwa ubunge na kujengewa migorofa kumpoza kwa migonjwa aliyoachiwa haoni raha yoyote zaidi ya kulia kila siku .Msimlaumu tuCHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.
List ni ndefu sana
Michango pia msisahau endeleeni kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti azitumbue ruzuku na michango na mabibi zakeWamehamia Nairobi nimemwona mwenyekiti juzi kaja likizo kumwona joy nkya na frying to KIA halafu anarudi tena ruzuku inateketea tu.
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.
List ni ndefu sana
Michango pia msisahau endeleeni kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti azitumbue ruzuku na michango na mabibi zake
Ahsante kwa taarifa tunasubiri listi nyingine BAC SAWACHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.