Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Hamna facts hapo,wote mnajadili watu binafsi na maisha yao,mngejikita katika kujadili ISSUES zenye maslahi kwa Taifa,mleta huu uzi hawezi kujitofautisha na huyu unayejaribu kumkana hapa,kwani bora yeye amejipambanua eneo lake(kuchambana/kusutana)!nadhani kwy hii forum na zijadiliwe issuez zenye maslahi mapana kwa taifa letu,badala ya kujadili kiongozi fulani anatembea na mwanamke fulani and bluh bluh bluh!
Ila kumbuka mwenyekiti ni public figure akwepeki na makando kando yake pia ni aibu kuonga ubunge wa viti maalum.
 
Ila kumbuka mwenyekiti ni public figure akwepeki na makando kando yake pia ni aibu kuonga ubunge wa viti maalum.
Sawa na tuambiane hapa sasa ni kiongozi(mwenyekiti) wa chama gani anaweza kubaki salama katika hili(ngono /kuhonga vyeo)!?
 
Bora hiyo nafasi ya Mukya angepewa mwanadada mpiganaji Ndibalema, sasa hivi kajikatia tamaa kwasababu chama hakioni juhudi zake badala yake wanateua wabunge viti maalum kwa mahaba binafsi.


Pamoja na kupewa unaibu waziri hujaichoka CHADEMA
 
Habari wakuu,

Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.

Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.

Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.

Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.

Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?

Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.

Asanteni sana.
Usitupe mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo hakika unayemtupia akirudishia utapata hasara kubwa.
Kabla ya kuanzisha thread kama hizi mjiulize "wakiamua kujibu wataandika nini?"
Mbowe ni kiongozi wa chama cha upinzani na hayo kama kayafanya kweli ni makosa makubwa na tayari yanamuondolea credibility ya kuweza kuomba uongozi wa nchi.
Hebu tuangalie ikiwa makosa kama haya yamefanywa na mwenyekiti wa chama lakini kilichobahatika kushika uongozi nini impact yake (tunaongozwa na mtu asiye muadilifu).
Kwetu Africa si jambo kubwa sana lakini nakumbuka ya kuwa Jenerali wa jeshi la America alivuliwa cheo kwa kuonekana katika klabu ya mashoga.
Mbowe kafanya makosa lakini kumshambulia kunafungua milango kwa "machizi" kuweza kuwashambulia watu walio na heshima kubwa katika jamii/taifa letu.
Ni busara kidogo tu!!!
 
Ndio maana siasa sipend hata kusikia.. wanasias ni kama wanaume n wale wanaoongozwa ni kama mademu

Sisi wanaume tukiwa tunataka mzigo tutafanya kila hila mpaka tuchimbue palipochimbika, hata km muhuni utajitia mwema, unaweza mtambulisha mpaka kwa dada au washkaji zako, kila hila utatumia kutegemea na upinzani unaopata, kwa wale walioupitia umalaya wananielewa vizur..

Sasa ndio wanasiasa walivyo, waongo na wanafiki, hamna mwema, kila mtu na masilahi yake..[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hii kitu kwenye hii nchi ya wanafki siku tukiielewa comment yako. Tukapambana kujiweka sawa kwenye maisha yetu ya kila siku nakuacha kutumia nguvu nyingi kumtetea mwanasiasa. WaTZ tutafika mbali sana.
 
Habari wakuu,

Tokea nimeanza kufuatilia Siasa nimekuwa nikimsikia Joyce Mukya. Nimemsikia kwa mengi kuanzia bungeni akitajwa na mpaka uraiani, bahati mbaya au nzuri sijawahi kumuona sehemu yoyote hata bungeni.

Nasikia ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10. Sijawahi kumuona/kumsikia akichangia hoja yoyote bungeni, Sijawahi kumuona akijenga chama kwa namna yoyote tofauti na wabunge wengine wanawake wa chadema na wanachama wengine wanawake, kifupi sio mbunge active.

Kama hafanyi haya yote amewezaje kupeta na kuwa mbunge huku wanachama wengine active ambao wanakipigania chama wakiachwa solemba kwenye ubunge na sehemu nyeti chamani.

Juzi nikamsikiliza Jerry Muro ndio nikagundua kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na ni mama wa watoto wa Mwenyekiti Mbowe.

Katika fukunyua fukunyua ndio nikakutana na habari mbalimbali zinazohusu huyu mama na Mbowe nikakutana hizi baadhi na zenye ushahidi usioacha shaka...
1. Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Hilal Aeshi katika vita ya kimapenzi wakimgombania Mhe. Joyce Mukya
2. Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara
3. Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Nikasema sawa, anapewa ubunge kwasababu ni mzazi mwenza wa Mwenyekiti wa chama, ila mbona hata waliopendelewa kwa kupewa ubunge wa vitu maalum kutokana na uhusiano wa kindugu au kingono na viongozi waandamizi wa CHADEMA wako active kwenye siasa za nchi, kulikoni huyu Joyce Mukya!?

Chama kinachojinasibu kuwa chama kikuu cha upinzani ni wakati sasa kuachana na kasumba yao ya upendeleo wa kugawa vyeo kwa undugu,kingono na kikanda. Wabadilishe mfumo wao wa uteuzi ili waweze kuwapa nafasi wengine wanaokipigania chama.

Asanteni sana.
Hakuna ubaya wowote .hii mambo binafsi aituusu
 
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.

List ni ndefu sana
Napinga kumnyanyapaa Joyce Mukya ukimya wake waweza kuwa una mengi mtu hadi kuzaa ina maana waliyezaa naye siku hiyo walikuwa peku peku bila kinga yoyote iwe condom au chochote sasa huyo aliyempa mimba awe mbowe au yeyote Kama alimwachia maradhi kwa kugoma kutumia kinga mnataka awe mwongeaji? Sana Sana anahitaji maombi hata akihongwa ubunge na kujengewa migorofa kumpoza kwa migonjwa aliyoachiwa haoni raha yoyote zaidi ya kulia kila siku .Msimlaumu tu
 
Wamehamia Nairobi nimemwona mwenyekiti juzi kaja likizo kumwona joy nkya na frying to KIA halafu anarudi tena ruzuku inateketea tu.
Michango pia msisahau endeleeni kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti azitumbue ruzuku na michango na mabibi zake
 
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.

List ni ndefu sana


Mkuu tuna usajili mpya wa JOKATE kachukua juzi tu kadi kapanda vyeo fasta sisi uvccm kitambo tunapigania chama tupo tu stay tuned mwakan mbunge wa viti maalumu
 
Siasa pembeni, kwenye suala la ngono na hawara/vimada itikadi haina mashiko. Haya mambo yanavuka mipaka ya vyama.
 
CHADEMA wao wanagawa ubunge viti maalum kwa upendeleo, hebu angalia hapa
Joyce Mukya - Demu wa Mbowe
Anatropia - Demu wa John Mrema
Sabrina Sungura - Mchumba/ Kimada wa Anthony Komu
Zainab Bakar mtoto wa dada yake Said Mohammed Issa (Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Zanzibar)
Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
Ruth Molel - Kijana wa Lowassa
Grace Sintato Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo

** Mama Regina Lowassa alipewa ubunge akawachomolea.
Ahsante kwa taarifa tunasubiri listi nyingine BAC SAWA
 
Back
Top Bottom