Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Ubongo wa mende kama wako ndio unaotufanya tunateseka kama Taifa, yaan wewe kuongea kiingereza ni deal sanaaa kuliko message aliokuwa akiifikisha? Waingereza wangapi tena viongozi wanaboronga kiswahil na huleti uzi hapa? Acha ujinga bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilemakyaaro nenda kaangalie likes kwenye posts zangu ndiyo utajua kuwa una bahati kushiriki mada na Great thinkers.

Ila siwezi kukurudishia tusi kwa kuwa nitakupa umaarufu.
 
La kusikitisha na kujiuliza sana ni je anapokutana na wadau wa kutoka nje na kuwa na mazungumzo nao ya one on one, je anatumia lugha gani kama Kiingereza ndicho hicho? Hilo moja, la pili pia ni swali linalolilia majibu, je hili labda ndilo chimbuko la taifa kujikuta limetumbukia katika mikataba isiyoeleweka?

Nikikutana na mvuta mkokoteni au machinga mtaani akaongea Kiingereza kama cha huyu Waziri mbona nitamsifia na kumshangilia? Lakini Waziri wa Elimu tena mwenye PhD hapana...hata atetewe vipi ni kilaza full stop. Kwani alizaliwa anajua Mathematics? Si alifundishwa tu kama alivyofundishwa Kiingereza?
 
Mkuu imhotep inawezekana hata wewe ukipewa hizo nafasi kubwa ukatakiwa utoe mhadhara mbele ya umati ukajikuta unazichanganya past na present tense, hilo lugha huwa hatuiongei mtaani wakati wa kununua maua au nyanya sokoni.

Tofauti na Kenya, Nigeria na South Africa, tunakosa kujiamini kwani hatuna utamaduni wa maongezi ya kingereza ya kila siku.
Kama ni udhaifu ni wa kwako ila msilazimishe kuwa ni wa Watanzania wote. No kuna Watanzania wengi wamesoma hapa hapa Tanzania elimu yao yote mpaka Degree na wana flow English nzuri.
 
Mkuu hakuna sehemu tumesema kuwa majukumu yao wameshindwa kuyatekeleza, labda kama hujaelewa mada hii. Sidhani kama kuna mtu kahoji kuweza/kutoweza kutekeleza majukumu ya waziri. Kwani hata watu aliyokuwa anawa address ni wachina.
Majukumu yao wanayatimiza kwa umahiri mkubwa sana mpaka ujumbe unawafikia hao wenye kukijua kingereza vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni udhaifu ni wa kwako ila msilazimishe kuwa ni wa Watanzania wote. No kuna Watanzania wengi wamesoma hapa hapa Tanzania elimu yao yote mpaka Degree na wana flow English nzuri.
Cha muhimu ni ufanisi wako wa kazi sio uwezo wako wa kuiongea lugha ya kingereza. Matapeli wangapi Nigeria wapo jela kwa kuponzwa na kingereza chao kizuri?.
 
Mkuu hakuna sehemu tumesema kuwa majukumu yao wameshindwa kuyatekeleza, labda kama hujaelewa mada hii. Sidhani kama kuna mtu kahoji kuweza/kutoweza kutekeleza majukumu ya waziri. Kwani hata watu aliyokuwa anawa address ni wachina.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada kaleta wazo lenye dhihaka ndani yake, ndio maana namwambia hii lugha sio kila moja anaiweza lakini kutoiweza haimaanishi kwamba maisha hayaendelei kama kawaida.
 
Cha muhimu ni ufanisi wako wa kazi sio uwezo wako wa kuiongea lugha ya kingereza. Matapeli wangapi Nigeria wapo jela kwa kuponzwa na kingereza chao kizuri?.
Sasa Waziri wa Elimu anayeongea Kiingereza kibovu atasimamiaje quality ya Elimu? Naye si yuko sawa tu na hao matapeli wa Kinigeria.?

Ameshiriki kuwatoa watu wenye vyeti feki mwaka 2017na 2018. Cheti feki kisiiishie kugushi majina bali vile vile ni pamoja na kuwa na cheti ambacho hakilingani na elimu yako.

Una PhD huwezi kusimamisha hata sentensi moja ya English yenye afya, HIYO PHD NAYO NI FEKI.
 
Huyu Mh yawezekana anajua Sana kiingereza Cha kuandika kuliko cha kuongea. Ila pia tukumbuke miaka aliyosoma huyu elimu ilikuwa bado mauaji hapa Bongo wakati Sasa Zama zimebadilika. Halafu niwazi miaka hiyo walisoma kwa kuunga unga(Vizuri ukitafuta wasifu wake)

Ila tu haipendezi kwa Prof Tena kada ya Elimu kuongea kiingereza Cha kitoto kiasi hicho. Ni vema akatumia kiswahili tu kwa kuwa hakuna panapomfunga.
 
Sasa Waziri wa Elimu anayeongea Kiingereza kibovu atasimamiaje quality ya Elimu? Naye si yuko sawa tu na hao matapeli wa Kinigeria.?

Ameshiriki kuwatoa watu wenye vyeti feki mwaka 2017na 2018. Cheti feki kisiiishie kugushi majina bali vile vile ni pamoja na kuwa na cheti ambacho hakilingani na elimu yako.

Una PhD huwezi kusimamisha hata sentensi moja ya English yenye afya, HIYO PHD NAYO NI FEKI.
Utaishia kulialia humu JF kana kwamba kingereza ndio kila kitu maishani. Wenye PHD za uhakika wameboronga mangapi hapa Tanzania!!.

Wenye kingereza cha oxford miaka ya nyuma ndio waliokuwa madalali wakubwa wa makampuni ya kibepari.
 
Ni zwazwa huyo waziri wenu, ni heri hata wale wanafunzi waliowafukuza pale Udom mwaka ule wakiwaita vilaza, hivi nani kilaza kati wale wanafunzi na ndalichako na magu ?
Zwazwa Mbowe na Waliokulea kutokuwa na adabu kwa Wakubwa. Kwa kauli zako zinavyoonesha itakuwa ni Marioò
 
Vyuo hutumia idara za lugha kuwasaidia wanafunzi wenye matege ya lugha kunyosha kazi zao.
Ni huduma inayolipiwa na mhusika. Hata mitaani kuna huduma hii.
Tusisahau msimamizi pia humsaidia mwanafunzi wake kuweka lugha vizuri.
Mnatetea elimu yetu kuelekea shimoni. Yani kiwango chake cha kuzungumza kingereza na cha chini sana yani sana kwa mtu aliyesoma mpaka kuwa professor kwa kutumia hiyo lugha.
 
Mnatetea elimu yetu kuelekea shimoni. Yani kiwango chake cha kuzungumza kingereza na cha chini sana yani sana kwa mtu aliyesoma mpaka kuwa professor kwa kutumia hiyo lugha.
Uko wapi utetezi?

Nilikuwa najaribu kuwaeleza wasiojua nawe ukiwemo Kingereza kwenye thesis sio hoja maana mtu anaweza kusaidiwa kuandika vizuri. Ni kitu cha kawaida sana.

Always kuna swali, aliwezaje kuandika thesis kama lugha ina matege. Jibu ni hilo.

Ukweli kwamba Joyce hajui English vizuri unabaki pale pale.
 
Mkuu imhotep inawezekana hata wewe ukipewa hizo nafasi kubwa ukatakiwa utoe mhadhara mbele ya umati ukajikuta unazichanganya past na present tense, hilo lugha huwa hatuiongei mtaani wakati wa kununua maua au nyanya sokoni.

Tofauti na Kenya, Nigeria na South Africa, tunakosa kujiamini kwani hatuna utamaduni wa maongezi ya kingereza ya kila siku.
Sawa ,basi asome written speech , mfano Bi Samia Suluhu anatema english safi kutoka text.
 
Uko wapi utetezi?

Nilikuwa najaribu kuwaeleza wasiojua nawe ukiwemo Kingereza kwenye thesis sio hoja maana mtu anaweza kusaidiwa kuandika vizuri. Ni kitu cha kawaida sana.

Always kuna swali, aliwezaje kuandika thesis kama lugha ina matege. Jibu ni hilo.

Ukweli kwamba Joyce hajui English vizuri unabaki pale pale.
Yani kumbe hujaelewa, hapa mantiki ni kwamba kumbe mtu anaweza kuwa professor kwa njia za mkato mkato na ndicho kinachotokea.
Halafu baadae tuje kushangaa kwanini watoto wanamaliza la saba wanafaulu kumbe hawajui kusoma na kuandika...
 
Back
Top Bottom