YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
humu tumeshaongea kuna eneo halitakiwi kucheza hasa elimu ya msingi.Shule za serkiali zote ziwe english medium.Amekaa darasani miaka zaidi ya 10,
Ndio maana wazazi wengine wanaonekana wabishi hawataki elimu bure lakini sio kweli wanakwepa aibu kama hizo mbeleni kwa watoto wao