Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Amekaa darasani miaka zaidi ya 10,
humu tumeshaongea kuna eneo halitakiwi kucheza hasa elimu ya msingi.Shule za serkiali zote ziwe english medium.

Ndio maana wazazi wengine wanaonekana wabishi hawataki elimu bure lakini sio kweli wanakwepa aibu kama hizo mbeleni kwa watoto wao
 
Kwani kujua kiingereza inasaidia nini? na km mnapenda elimu sana kwanini mkakubali sifa ya mbunge ajue tu kusoma na kuandika?

They say it's for communication, not for fluency, kama mchina kaelewa hicho kibovu, over.

Kwani nyie mnaomsema sema mnakijua hicho kiingereza, halafu mkikutana na mzungu mnaanza tetemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga wenzio ndo walikubali hizo sifa za kuwa mbunge,hapana lazima tuukubali ukweli kwaamba kuna shida,haiwezekani kwa prof kuwa na kiingereza chakuokoteza vile.Inawezekana hujui vzr sifa ya kuwa prof.Visingizio kibao eti ooh wamesoma sayansi utafikir sayansi inafundishwa kwa kiswahili haina maneno ya kiingereza.
 
Wajinga wenzio ndo walikubali hizo sifa za kuwa mbunge,hapana lazima tuukubali ukweli kwaamba kuna shida,haiwezekani kwa prof kuwa na kiingereza chakuokoteza vile.Inawezekana hujui vzr sifa ya kuwa prof.Visingizio kibao eti ooh wamesoma sayansi utafikir sayansi inafundishwa kwa kiswahili haina maneno ya kiingereza.

Kwani sayansi yote inasomwa kwa kiingereza kote duniani?
 
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Mmh, mbona shida!!!???

"......to make sure that the children of Tanzania are get their......aaah they are achieve.....".....!!!!!!????
 
PhD na lugha wapi na wapi. Umekwama wapi. Mkuu. Watu tuliandika PHD kwa kijerumani lakini Sio kwamba tunakimaster. Ni scientific work so one needs Hilfe Anapokuwa amemalizana na Maprofessor wanaomsaidia. Anapewa mtaalamu wa lugha na Fach the anarekebisha.

Wazo lako la kuandika ndo Point. Kwa kuwa Ni muhimu kwa kiongozi kufikisha ujumbe kama anavyokusudia. Na Lugha Ni Tool muhimu ya kufanya hivyo
Haya tumeona utumbo wako ulioandika kuhusu PhD yako ya Kijerumani. Gambia kuwa kama una PhD kwa lugha ya Kijerumani na huwezi kuongea basi hiyo ni PhD fake kama ya Prof Ndalichako.
 
Basics free basic primary education ands the they decision was made make sure that all all tanzanian children of Tanzanian give aaaaah
Yaani hivyo😏😏😏😏😏
Halafu mijitu inataka kweli tukae kimya kwa broken hiyo kisa ana PhD ya mathematics?? Kwani PhD ya mathematics kutengeneza model gani tuone?
 
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Acha kabisa hizo. Kiinglishi ni lugha yetu ya nne hivyo uelewe kuwa ipo hivi kama wazazi ni makabila tofauti basi:
1. Utamfahamu lugha ya baba
2. Utamfahamulugha ya mama
3. Kiswahili murua kila jona na primary yote usipokuwa somo la Kiinglish linalofundishwa na waalimu waliopata daraja la
4. Kiongozi cha mwisho na ni darasa ni tu.

Wewe ambaye nimesoma mjini na kuja yenu ya kikabila kufahamu ukiingia baby care mpaka university umetumia kiingereza huwezi jifananisha na sisi wa rika la Ndalichako tuliosoma na kukulipa huko moundombinu iliyokufa.

Kuna nchi hata English hawaongei anzia na nyingi za Asia,nhia Ufaranza, into a Kurudi, into a ujerumani n.k. Tuliokwisha tembelea hizo nchi nakuambia hata supermarket ni majanga huna msaada. Kama Uholanzi ya kusini kule Mastritcht usiombe kufika huko.

Hivyo acha Prof achape kazi Kiinglish ni lugha yake ya nne aliyojifunzia shuleni.
 
Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?

Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??

Hovyo kabisa ,shithole mind.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu tueleze maana na tafsiri ya msomi kwako ni IPI, maana binafsi nimeshindwa kuielewa dhana unayotaka kuijenga hapa hata kutetea hili.....

Ninavyoelewa mimi ni;

1. "Mtu msomi" ni yule mwenye ujuzi na maarifa katika kitu fulani, kwa hiyo mbobezi ktk fani hiyo

2. Lakini hiyo pekee haitoshi kumkamilisha mtu huyo hata kuitwa msomi isipokuwa awe na uwezo kuutumia ujuzi na maarifa yake kumletea yeye binafsi manufaa pamoja na watu wengine (jamii anayoishi kwayo)

3. Hata hiyo, bado hiyo pekee inakuwa haijatosha kuukamilisha "usomi" wa mtu fulani mpaka pale naye atakapoweza kuushirikisha kwa watu wengine huo usomi wake ktk njia rahisi zenye kueleweka...

Moja ya njia hizo ni uwezo wa namna ya kuwasilisha (kushea) kwa busara na hekima maarifa kwa kutumia lugha rahisi kwa ufasaha, yenye staha na isiyotweza utu wa watu wengine ili kutoa madini (maarifa ya usomi wako) uliyonayo ili kuwatajirisha wanaokusikiliza wawe kama wewe...!!

Ndiyo maana kuna msemo huu maarufu wa;

".....amesoma lakini HAJAELIMIKA" ....na yaweza pia kuwa ni; "....AMEELIMIKA lakini HAJASOMA....."

Je, unadhani Joyce na kaka yake Magufuli wanaweza kuwa ktk kundi gani hapa?

Aaah, obviously ni;- WAMESOMA LAKINI HAWAJAELIMIKA!!!
 
kwani kiingereza ndio elimu ya mtu au lugha tu kama kichaga,
natamini sana serikali itamke waziwazi kuwa kiswahili kitumike ktk shughuli zote za serikali na kiingereza kitumike tu kama lugha ya ziada maaana watanzania tumeleweshwa na kiingereza hadi mtu akikosea kwa bahati mbaya basi tayari unaaanza kuuliza juu ya elimu yake kama iko sawa!!

naiomba serikali yetu kupitia waziri wa habari tangazeni kiswahili kiwe ni lugha rasmi ya shughuli za serikali ikiwemo Mahakamani ambapo bado kinayumika zaidi kiingereza wakati wanao kijua wachache.tuache ukoloni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
People are not examined orally when producing their thesis, rather the work is assessed through structured academic writing.

During the process there is a supervisor whom you can consult as the work develops, if there are grammatical errors or areas of improvement they will be highlighted during discussions.

Therefore the author has ample time to correct their work in all areas, before producing the final draft; consequently this has nothing to being able to speak good english.

Whereas spoken English is not determined by merely understanding the meaning of words from a particular language, there are also psychological factors like how often you use that language for the structure to register in your brain, etc with lexical development.

As a result people who spend most of their time listening and speaking their mothers tongue are bound to struggle with foreign languages regardless of their education.

Most people who brag about their English skills in this forum and haven’t spent much time abroad I am certain when conversing with them for half an hour a majority will struggle and their accent won’t be far apart from those they ridicule.
Umeeleza vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom