Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Managerial skills unazipata kwa either kusomea degrees zake ie. Business Management, Health and Social Care Management, Oil and Gas Management, etc Management.Hiki unachokiongea kinathibitisha hujui lolote.
Mtu yoyote mwenye degree anapaswa kuwa na managerial skills maana mambo mengi atakayokutana nayo yatakuwa yanayohusu management.
Sasa unaposema phd holder alitakiwa huko benki anacrunch namba inamaana angekuwa nafanyi kazi za management??
Akili mbovu sana hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama unazipata kazini through training and development; ndio maana kwenye vikao vya bunge majuzi mwenyekiti wa kamati ya serikari za mitaa akawa anashauri kutokana na walichokiona wakurugenzi wengi huko wilayani ni incompetent kwenye usimamizi kwa sababu ni untrained matokeo yake wanategemea msaada wa wafanyakazi wa halmashauri wenye experience ambao wamepanda madaraja kutokana na kupatiwa mafunzo ya usimamizi.
Hakuna degree isiyokuwa na neno management mwishoni ina cover wide scope areas of management; Mtu anaesoma business studies, Social Work, Oil and Gas exploration or any other degree ambayo aina neno management awezi kuwa na wider knowledge ya management anachofundishwa ni namna ya ku perform task for the most part; trust me.