Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Upumbavu ni hii mada yako ya kejeli na dharau.

Nina uhakika babu aliyemzaa babu yako alikuwa anatembea almost uchi leo hii unaleta mbwembwe za lugha iliyokuja na meli.
Kama ni lugha iliyokuja na meli mbona Taarifa za hukumu kwenye mahakama zenu zinaandikwa kwa hiyo lugha ?, mbona hamjawahi kuikataa ?!, na ndio maana mnaandikiwa hukumu ambayo hata hamuwezi kuihoji kwa sababu imeandikwa kwa lugha isiyo yenu, mahospitalini kote umewahi kukuta Daktari anaandika kwa Kiswahili ?.
 
Daaah,wabongo wengi bado wanaamini kwamba,kujua ki-english fasaha ni kuwa mwerevu.

Jose Mourinho kocha wa Spurs bado anaongea broken English mpaka kesho pamoja na kuish England miaka kibao ,sasa sijui nayeye KILAZA kwa mujibu wa 'wasomi' wetu hapa???
Ukileta sampo ya Broken English aliyoongea Morinho nipigwe ban ya maisha.

FYI : Morinho anaongea lugha zaidi ya tano kwa ufasaha.
 
Lugha yoyote inahitaji practice, tatizo hapa Tanzania unaweza ukakaa mwaka mzima kwenye maeneo fulani usipate hata mtu moja wa kuongea naye hiyo lugha.

Ktk nchi kama Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, SA, Malawi, Botswana nk wanatuzidi mbali kwa sababu kiingereza ndio lugha yao ya pili na ndio inayotumika kufundishia ktk ngazi zote za elimu wakati sisi ni kiswahili hadi wengine hawawezi hata kuongea kilugha.
Apo umesema ukweli kuna uwezekano sio kama watu hawajui Ila hawa-practice
 
Mkuu kwa hiyo unataka Profesa akajifunze na wakati alishakaa darasani miaka kibao !?, na watoto wetu wafanyeje ?, huyo ni kilaza hana lolote, Uprof wa kuunganisha na gundi
Akapractise huko na mabeberu ili hizo tafsiri za kutoka kwenye Kiswahili kwenda kwenye Kiingereza zipotee.
 
Kati ya hawa mawaziri Wahutu ni Mpango pekee yake ndio huwa anatema yai lakini huyu mama na Kigwa na wenzake ni bure kabisa
 
Hiki unachokiongea kinathibitisha hujui lolote.

Mtu yoyote mwenye degree anapaswa kuwa na managerial skills maana mambo mengi atakayokutana nayo yatakuwa yanayohusu management.

Sasa unaposema phd holder alitakiwa huko benki anacrunch namba inamaana angekuwa nafanyi kazi za management??

Akili mbovu sana hizi.
Kwa sababu ajasomea things of social science theories in nature.

Yeye anajua mambo ya number systems, structures, spaces, changes, game theory etc with mathematical theories. If you expand those theories it’s an entire different world with so many avenues to master and things can get very complicated if you don’t have the head.

Na Career path ya mathematicians sio managerial post za kisiasa, kwa level zake alitakiwa kuwa BoT huko ana crunch numbers au sehemu zozote ambazo mathematic za level yake inahitajika.

Eitherway ukisikia mtu ana ata first degree za mathematics kubali tu ni kichwa na PhD ndio kabisa. Sasa aina maana kila sehemu anafaa Ndalichako as minister she comes across as incompetent and she is in that area ata ukimsikiliza unaona huyu mama ni clueless kwenye hayo maswala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukileta sampo ya Broken English aliyoongea Morinho nipigwe ban ya maisha.

FYI : Morinho anaongea lugha zaidi ya tano kwa ufasaha.

Kama unapinga kuwa Mourinho haongei broken English sometomes,basi ni wazi wewe sio mfuatiliaji wa press conference zake,no need for sample,anza kumfuatilia tu.
 
Ila kweli inachekekesha na kuleta maswali mengi, waziri wa elimu hawezi kuongea sentensi moja ya kingereza iliyonyooka!! Achana na jiwe mana huyo ndiyo balaa sasa na wote wana PhD eti
Wewe mwenye kingereza kizuri mbona unashinda tu humu ndani pasipo msaada wowote kwa taifa lako.

Kingereza ni lugha yetu ya pili kumbuka sisi sio kama wakenya ambao wanakijua vyema kingereza wakibebwa na mazoezi ya maongezi ya kila siku na kila mahali.

Achana na mawazo ya kishamba na kitumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let us disscuss the topic in english!
One of the simple task in this world is to see some one mistakes!


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu, bora tuendelee tu na Kiswahili chetu ..... wote tunajua hili ni tatizo la Kitaifa. Waziri wa elimu ameonyesha picha halisi.

Tatizo tu ni kama wageni waalikwa walimuelewa au waliupata ujumbe wa mama!!
 
Hoja yangu nilishaitoa ila ya kwako sijaiona badala ya swali....

Hebu sema unachokisimamia nami nipate kujifunza...

Angalizo:Tusibishane bali tuelimishane!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Umedai kuwa English ni lugha ya tatu (sijui ni ya tano) lakini ukweli ni kuwa English ndio official business and legal language kwa Tanzania. Sasa iweje PhD holder aliesoma elimu yake yote kwa Kiingereza, kafanya kazi katika mazingira Kiingereza kinapotumika ashindwe kuongea passable English? Unaona ni jambo la kawaida kabisa hilo?
 
Back
Top Bottom