Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Lakini kwa level ya Waziri tena wa Elimu hapaswi kuwa na kingereza kibovu kiasi hicho. Kama yeye ni Mathematician basi aende labda BOT au kwenye issue za statistics aache kutia aibu wizara.
In kenya kiswahili ni lugha ya taifa na inatumika ktk shughuli za kiserikali na there probable kenyan 5th hayuko competent nacho na our JN sio kwamba hajui kabisa she is just not competent enough of which haidhuru sana na not only her many of our learned bro and sis wanatafsiri tu kingereza kwa lugha yao ya kwanza na haijaathir sana utendaji wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?

Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??

Hovyo kabisa ,shithole mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokujua sio tatizo.., hell most of us knows nothing..., tatizo ni kutumia / kufanya kile usichokijua kuwasilisha kile unachokijua wakati una option ya kukiwasilisha vinginevyo....
 
Kwani mkuu wewe gramatical English unataka ikusaidie nini katika maisha yako ya kawaida ya kila siku? Boutros Boutros-Ghali Mmisri mwanasiasa na mwanadiplomasia aliyetukuka aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa hakuwahi kuwa na Kiingereza kizuri hata siku moja lkn kaserve kwenye nafasi kubwa kabisa na kwa mafanikio makubwa. Hangaika na matokeo ya kazi anayofanya mama ndalichako achana na lugha anayozungumza hasa hizi zilizoletwa kwenye makontena.
Wewe hata ngumbaro au QT hujasoma kaa kimya. Ona kwenye maandishi yako unaandika ndalichako badala ya Ndalichako
 
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606

Ww mwenyewe tukikwambia uongee Kingereza kwa masaa sita tu hapa utaleta mambo ya ajabu

Hii lugha sio yake, mbona Obama nakosea Kiswahili?
 
What if anajua kifaransa zaidi ya kiswahili na kiingereza?
What if anaweza kuandika zaidi, kuliko kukiongea, je u-prof wake utaendelea kuwa questioned?!
 
Wewe mwenye kingereza kizuri mbona unashinda tu humu ndani pasipo msaada wowote kwa taifa lako.

Kingereza ni lugha yetu ya pili kumbuka sisi sio kama wakenya ambao wanakijua vyema kingereza wakibebwa na mazoezi ya maongezi ya kila siku na kila mahali.

Achana na mawazo ya kishamba na kitumwa.
Usimjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake usije kufanana naye.... (Mithali 24:6)
 
Wewe ndiye mjinga. Elimu ya Tanzania tunajifunza English kama somo compulsory kuanzia Std 1 mpaka O-level, yaani miaka 11. Na ni language of instruction kwa masomo yote kasoro Kiswahili kuanzia Form 1 hadi University yaani miaka mingine 9. Kisha kama unafanya Masters na PhD una miaka mingine 5. Kwa ujumla ana minimum ya miaka 25 ambayo alikuwa involved au kujifunza lugha au kutumia lugha ya Kiingereza

Hakuna excuse ya kusema eti Watanzania lugha yetu tunayoongea sana ni Kiswahili ndiyo uongee English fyongo kama hiyo ya Joyce. Kulazimisha kuongea "broken English" ni more damaging kuliko kuongea Kiswahili then mkalimani akakusaidia kutafsiri.

Kubalini tu kuwa Kiingereza hakimpendi, abakie kwenye Kiswahili tu, otherwise anajiaibisha kama Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.

Mkuu:
Hayo ni kweli kabisa.
Hivi huyu Prof. alikuwa anafundisha kwa lugha ipi?
Na hata hayo machapisho yake anayatoa kwa lugha ipi?
 
Ww mwenyewe tukikwambia uongee Kingereza kwa masaa sita tu hapa utaleta mambo ya ajabu

Hii lugha sio yake, mbona Obama nakosea Kiswahili?
Tumeshauri atumie Kiswahili la sivyo kama ataendelea kulazimisha iko siku ataachia haja ndogo kwa kujilazimisha kutafuta maneno
 
Hata wewe hicho Kiswahili chako ukifuatiliwa bado utaonekana hukijui vizuti. Kukosea grammar haina maana kuwa mtu hawezi kufanya research au kuandika thesis/dissertation. Hiyo research kwanza kuna sehemu unaweza kulazimika kutumia kiswahili ili kukusanya data hasa ikiwa respondents hawajui English kisha unatafsiri mwenyewe katika English. Wewe una chuki binafsi na huyo mama sasa unatumia huko kuteleza kidogo kumshambulia. Voivyote vile huyo mama yuko vizuri kichwani kuliko wewe na ikitokea mkapewa mtihani wowote ule wewe na yeye atakubwaga mbali. Raha ya JF unajikficha nyuma ya keyboard unashambulia lakini ukiambiwa wewe unayejua umesoma hadi kiwango gani cha elimu huwezi taja humu. Kumbuka hakuna anayejipa vyeti bali hupewa baada ya jopo la wanazuoni wanaokubalika katika ngazi husika kuona fulani anastahili kutunukiwa. Elimu ya huyo mama inatambulika mpaka kimataifa hata wewe binafsi usipoitambua.
Media ya ufundishaji Tanzania ni ipi? Hata hizo data akizikusanya kwa Kiswahili anapoenda kuandika report na kuzitafsiri atatumia lugha gani?
Huwezi kuwa unaelewa ulichojifunza tena mpaka ukawa Professor wakati unashindwa hata zungumza kwa kiwango cha kawaida hiyo lugha uliyotumia kupata elimu hiyo.
Hatusemi azungumze kama Mwingereza lakini Ndalichako hata uzungumzaji basic kabisa unamshinda inshangaza sana tena sana si kidogo.
 
Lakini kwa level ya Waziri tena wa Elimu hapaswi kuwa na kingereza kibovu kiasi hicho. Kama yeye ni Mathematician basi aende labda BOT au kwenye issue za statistics aache kutia aibu wizara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi pia angeenda uko ila kumbuka amekaa sana Udsm na pale NECTA so anatufaaa hapa kwenye uwaziri zaidi kuliko huko angetakiwa awashawish wahisani she is the Experienced lady in this area
 
Kuna mzungu mmoja huwa anauliza "did you saw him"?

Angekua mswahili!!!!sipati picha.
yani kisa ni mzungu basi unaamini yupo vizuri kwenye lugha ya kiingereza, English ni lugha kama lugha nyingine, kuna wengine ni lugha yao ya kuzaliwa wengine tunaijua kwa kujifunza, point inakuja Profesa mzima tena waziri wa elimu inakuaje lugha ya kiingereza inamtatiza? nini shida?
 
Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?

Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??

Hovyo kabisa ,shithole mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini hajui kiingereza wakati amekuwa exposed kwenye level ya PHD?.....kweli ni aibu kwa Dr kuongea broken English vinginevyo lisitumike neno Dr wala PHD itafutwe kiswahili chake
 
Back
Top Bottom