Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Kwani mkuu wewe gramatical English unataka ikusaidie nini katika maisha yako ya kawaida ya kila siku? Boutros Boutros-Ghali Mmisri mwanasiasa na mwanadiplomasia aliyetukuka aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa hakuwahi kuwa na Kiingereza kizuri hata siku moja lkn kaserve kwenye nafasi kubwa kabisa na kwa mafanikio makubwa. Hangaika na matokeo ya kazi anayofanya mama ndalichako achana na lugha anayozungumza hasa hizi zilizoletwa kwenye makontena.
Hata hayo matokeo mboa hayapo, au inatakiwa darubini kuweza kuyaona ?.
 
Hiyo Phd yake lugha aliyotumia kuipata ni kingereza, kushindwa kuzungumza kingereza vizuri ni lazima tuwe na mashaka research na thesis alizifanyaje?
Angekuwa Mrusi au mchina ingeeeweka lakini kaipata kwa Kingereza
Hata wewe hicho Kiswahili chako ukifuatiliwa bado utaonekana hukijui vizuti. Kukosea grammar haina maana kuwa mtu hawezi kufanya research au kuandika thesis/dissertation. Hiyo research kwanza kuna sehemu unaweza kulazimika kutumia kiswahili ili kukusanya data hasa ikiwa respondents hawajui English kisha unatafsiri mwenyewe katika English. Wewe una chuki binafsi na huyo mama sasa unatumia huko kuteleza kidogo kumshambulia. Voivyote vile huyo mama yuko vizuri kichwani kuliko wewe na ikitokea mkapewa mtihani wowote ule wewe na yeye atakubwaga mbali. Raha ya JF unajikficha nyuma ya keyboard unashambulia lakini ukiambiwa wewe unayejua umesoma hadi kiwango gani cha elimu huwezi taja humu. Kumbuka hakuna anayejipa vyeti bali hupewa baada ya jopo la wanazuoni wanaokubalika katika ngazi husika kuona fulani anastahili kutunukiwa. Elimu ya huyo mama inatambulika mpaka kimataifa hata wewe binafsi usipoitambua.
 
Wakenya hawasomi kwa kiswahili mpaka PhD, so kutokujua kiswahili siyo ishu

Sent using Jamii Forums mobile app
In kenya kiswahili ni lugha ya taifa na inatumika ktk shughuli za kiserikali na there probable kenyan 5th hayuko competent nacho na our JN sio kwamba hajui kabisa she is just not competent enough of which haidhuru sana na not only her many of our learned bro and sis wanatafsiri tu kingereza kwa lugha yao ya kwanza na haijaathir sana utendaji wao
 
Eti huyu alikuwa katibu mkuu wa baraza la mitihani Tanzania.

Huuu dr huu Uprofessa. mimi nina mashaka sana nao.

Hata wengine wakubwa kabisa ila kiingereza hawajui. sasa hizo insha zao (thesis) wali defend vipi? kama sio za kununua.
 
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
yaani unataka kushindana na phd?huyu mama kasoma hiyo ni lugha tu mbona wengine kiswahili nacho ni shida
 
Kwa sababu ajasomea things of social science theories in nature.

Yeye anajua mambo ya number systems, structures, spaces, changes, game theory etc with mathematical theories. If you expand those theories it’s an entire different world with so many avenues to master and things can get very complicated if you don’t have the head.

Na Career path ya mathematicians sio managerial post za kisiasa, kwa level zake alitakiwa kuwa BoT huko ana crunch numbers au sehemu zozote ambazo mathematic za level yake inahitajika.

Eitherway ukisikia mtu ana ata first degree za mathematics kubali tu ni kichwa na PhD ndio kabisa. Sasa aina maana kila sehemu anafaa Ndalichako as minister she comes across as incompetent and she is in that area ata ukimsikiliza unaona huyu mama ni clueless kwenye hayo maswala.
Kuongea kiinglish ingekua rahisi zaidi kuliko hayo mahesabu mnayomsifia kuyajua!!

Sijui anakwama wapi!!

Yaani ku derive ma formula koote present continues, future tenses zinamzinguaje????

Hatumvui nguo, anajivua mwenyewe,

Mwacheni ajitetee mwenyewe kwa kiinglish.
 
Hivi Kuongea English ndio Ishara ya usomi!???

Watanzania English sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili,mara nyingi tunaitumia tuwasilianapo na wageni na pia katika shughuli za kiofisi!!

English sio lugha yetu mama hivyo huwezi ukaiongea kama ambavyo inaongelewa America na Uingereza...Halafu tambua yeyote anayejifunza English ukubwani lazima akumbane na changamoto kwenye kuongea...

Kwa Mfano ili uwe mjuvi wa English lazima uwe mzuri kwenye" Pronunciation " hapa hubeba asilimia 60 kwenye uongeaji wa lugha hii..

"Stress" Mikazo ya maneno hapa napo ndipo shida hutokea kwa watu ambao English sio lugha mama na hapa hubeba asilimia zisizopungua 40.

Intonation,Rythm...kila lugha ina mfumo wake na mpangilio wake wengi kiswahili kimetuathiri sana na hzi lugha zetu za makabila...

Ni ngumu kuongea English yenye kupendeza masikio ya watu tusiongee kwa mihemko aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able speak a good English
 
kwamba kujua kingereza inatokana na uwezo wa mtu binafsi na mazingira aliyokulia na kusomea. Pia, haina uhusiano na uwezo wa kiakili wa mtu.
 
Lkn hili tatizo sidhani kama liko confined kwa huyu mama peke yake ni changamoto kubwa linalowakabili wasomi wengi ktk nchi hii.

Nchi hii pamoja na kuwa tunakitumia kiingereza kama Medium of Instruction ktk sekondari zetu na kuendelea lkn tatizo lipo kwa wakufunzi kwani wengi wao hawako vizuri kwa lugha hiyo.

Pia hatuna msingi mzuri wa hii lugha kwani ktk shule za msingi ambako pia hufundishwa kama somo walimu huko pia hawako vizuri ktk lugha hiyo, hivyo Joyce ni the end product of a poor manufacturing process, she should therefore not be very much vilified.
 
Hapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able to speak a good English
Mara nyingi tunatumia English kwenye kuandika na sio kuongea...hivyo basi mfumo wetu wa elimu haumfanyi mtu awe mzuri kwenye kuongea English kwa ufasaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joyce Ndalichako anapenda kuongea Kiingereza lakini Kiingereza hakimpendi. Hebu aliyemuelewa hapa atuambie alikuwa anataka kusema nini?

Hii ni mara ya 2 ndani ya siku 60 kwa Waziri kuongea Kiingereza chenye uvunjifu wa sarufi na tafsiri ya neno kwa neno toka Kiswahili kuja Kiingereza. Ya kwanza ni pale alipokuwa anamtishia Mkandaarasi wa kichina kuwa nitakusweka ndani (You will stay inside)

USHAURI:
Namshauri Mh Waziri awe anaongea kwa Kiswahili tu au awe anasoma hotuba alizoandikiwa na wataalamu. Kinyume chake anadhalilisha PhD yake na Vyuo vilivyompa hizo shahada.

Zaidi soma: Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?
View attachment 1355606
Wewe mwenye kingereza kizuri mbona unashinda tu humu ndani pasipo msaada wowote kwa taifa lako.

Kingereza ni lugha yetu ya pili kumbuka sisi sio kama wakenya ambao wanakijua vyema kingereza wakibebwa na mazoezi ya maongezi ya kila siku na kila mahali.

Achana na mawazo ya kishamba na kitumwa.
 
Hapana sio kweli, kuanzia form one mpaka PhD unatumia English kusome, how come someone with PhD she is not be able to speak a good English
Lugha yoyote inahitaji practice, tatizo hapa Tanzania unaweza ukakaa mwaka mzima kwenye maeneo fulani usipate hata mtu moja wa kuongea naye hiyo lugha.

Ktk nchi kama Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, SA, Malawi, Botswana nk wanatuzidi mbali kwa sababu kiingereza ndio lugha yao ya pili na ndio inayotumika kufundishia ktk ngazi zote za elimu wakati sisi ni kiswahili hadi wengine hawawezi hata kuongea kilugha.
 
Back
Top Bottom