Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Joyce Ndalichako na Kiingereza kibovu tena

Ni sahihi pia angeenda uko ila kumbuka amekaa sana Udsm na pale NECTA so anatufaaa hapa kwenye uwaziri zaidi kuliko huko angetakiwa awashawish wahisani she is the Experienced lady in this area
Basi atumie kiswahili kwani ni lugha yetu pia, don't hunt what you can not kill.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunasoma kwa kingereza kuanzia form one mpaka chuo kikuu.

Inawezekanaje mtu awe msomi tena wa PhD halafu asijue lugha aliyotumia kusoma?

Hivi Mtu ukijua kuongea Kiingereza ndo amefaulu. Basi kama ndiyo hivyo mtoto Wangu wa Dara la 4 nimsomi kwelikweli maana anaongea sana kiingereza, UK English and USA English.
Vilevile Watoto wale wa uingereza nao ni Wasomi kwelikweli maana kutwa wanaongea kiingereza.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nineamini kuna Mburula wengi sana ambao wanaamini ukijua Lugha ya kiingereza ndo usomi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha mada kama hao wengine. Hapa tunaongelea umahiri wa lugha kwa mtu mwenye bonge la elimu kama yeye na dhamana aliyopewa. Mada ya werevu ama ujiniasi unaweza kuanzisha ukitaka.

Kwako wewe mtu mwenye "bonge la elimu"unampima kwa umahiri wake wa kuongea English?

Vp unadhani amepewa hiyo dhamana aliyonayo hivi sasa kwa uwezo wake katika kuongea English?

Kwanini usihoji anafanya jitihada gani kuhakikisha elimu ya Tanzania inawawezesha wahitimu kujitegemea katika kila nyanja?
badala yake unahoji uwezo wake wa kuongea English kwa ufasaha?
 
Usipaniki babu, hakuna aliyohoji utendaji wake, ishu ni kwa nini Waziri wa Elimu level ya PhD hajui lugha ya Malkia kwa ufasaha?
Kiazi wewe jibu hoja....English grammar inahusiano gani na utendaji wa Ndalichako? Sitaki kurudi kunye level ya shule ya yule mama tukalinganisha na huko kwenye chama chenu. Jibu hoja za msingi za kiutendaji zilizoathiliwa na hiyo grammar ambayo ninyi chamani kwenu form 6 mlitoka na zero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Marekani Zambia,South Afrika,Uganda na Kenya ilifika kwa meli.
Kama ni lugha iliyokuja na meli mbona Taarifa za hukumu kwenye mahakama zenu zinaandikwa kwa hiyo lugha ?, mbona hamjawahi kuikataa ?!, na ndio maana mnaandikiwa hukumu ambayo hata hamuwezi kuihoji kwa sababu imeandikwa kwa lugha isiyo yenu, mahospitalini kote umewahi kukuta Daktari anaandika kwa Kiswahili ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jose Mourhino ni mcheza mpira au kocha wa mpira. Joyce ni PhD holder na mwalimu na sasa waziri. Acha kutetea ujinga

Unataka kusema nini hapa kwenye Mourinho ni mcheza mpira au kocha?
Mtu akiwa PhD holder kwako wewe ina maana gani?
 
Kiingereza kwa Tanzania ni somo kichwa maji wewe........ mtu aliyepata F kiingereza lkn masomo ya sayansi akapata A zote ni wa maana zaidi kuliko aliyepata A kiingereza anafail sayansi. Uthamani wa mama Ndalichako even Academically haupo kwenye Kiingereza bali masomo yake ya sayansi ambayo ni mahiri kabisa. Zaidi ya yote kwa sasa alipo hatuangalii ujinga huo unaouzungumzia wewe Kiingrezaa bra braaaa. Tunaangalia utendaji wake. Halafu ukitaka hayo mamabo ya taaluma kaanze na cheti cha form 6 cha Mh. Philemony Aikael Mbowe halafu uje hapa useme nafasi aliyonayo kwenye chama chenu inamtosheleza au la.
Ukisema Mbowe hajui kingereza mimi sishangai kwa sababu ya level ya elimu yake, lakini msomi wa PhD kuongea broken ki kituko cha dunia.Kumbuka hatuzungumzii utendaji wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Waziri hafai kuwa Waziri wa Elimu inaonekana hiyo Elimu yake ni ya kununua
 
Punguza Ugoro.
Umewahi kumsikia Jose Mourinho akiongea broken English? Mourinho unaongea English fasaha,nenda karudie kusikiliza au kuangalia video zake mkiwa pamoja na Ras Simba.
Anazungumza lugha nyingine 5 kubwa duniani na hana hata masters katika elimu.
Daaah,wabongo wengi bado wanaamini kwamba,kujua ki-english fasaha ni kuwa mwerevu.

Jose Mourinho kocha wa Spurs bado anaongea broken English mpaka kesho pamoja na kuish England miaka kibao ,sasa sijui nayeye KILAZA kwa mujibu wa 'wasomi' wetu hapa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom