Milestone
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 376
- 409
Kuweni na huruma na profesa.Amekaa darasani miaka zaidi ya 10, kama ameshindwa kujiboresha hata tukimpeleka kwenye sitting room ya malkia Elizabeth ll atatoka bure tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweni na huruma na profesa.Amekaa darasani miaka zaidi ya 10, kama ameshindwa kujiboresha hata tukimpeleka kwenye sitting room ya malkia Elizabeth ll atatoka bure tu
Nikupe pole kwa ndoto zako za mchanakwani kiingereza ndio elimu ya mtu au lugha tu kama kichaga,
natamini sana serikali itamke waziwazi kuwa kiswahili kitumike ktk shughuli zote za serikali na kiingereza kitumike tu kama lugha ya ziada maaana watanzania tumeleweshwa na kiingereza hadi mtu akikosea kwa bahati mbaya basi tayari unaaanza kuuliza juu ya elimu yake kama iko sawa!!
naiomba serikali yetu kupitia waziri wa habari tangazeni kiswahili kiwe ni lugha rasmi ya shughuli za serikali ikiwemo Mahakamani ambapo bado kinayumika zaidi kiingereza wakati wanao kijua wachache.tuache ukoloni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hiyo meseji tunaipataje kama anaongea upupu ???..Ubongo wa mende kama wako ndio unaotufanya tunateseka kama Taifa, yaan wewe kuongea kiingereza ni deal sanaaa kuliko message aliokuwa akiifikisha? Waingereza wangapi tena viongozi wanaboronga kiswahil na huleti uzi hapa? Acha ujinga bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yule pale hakuwekwa kwa sababu ni anajua au hajui kiingereza. Wewe level yako ya uelewa ni ndogo sana hivyo hata dhana nzima ya PhD hunayo. Ungekuwa unajua japo kidogo vitu hivi vya kitaaluma usingezumza huu upupu. Unapoandika thesis hasa kwa level hizo Master or PhD ziko ambazo supervisors wala hawahitaji Kiingereza chako bali presentation ya mawazo na findings zako. Ndiyo maana kabla ya difference hapo ndo unashauriwa sasa kupeleka thesis yako kwa mtaalum wa lugha kuifanyia edition kwa maana ya upangaji wa grammar nk. Kama kiingereza ni kigezo kwa levels hizo basi na lugha nayo ingekuwa inasahihishwa. Lkn pia kuna Master na PhD zinasomwa kwa lugha tofauti tofauti japokuwa wewe umekariri kiingereza tu. Kuna watu wanaenda soma Ujeruman, Portugal, China nk ambao hujifunza lugha za nchi hizo na kisha kusoma levels hizo. kwa wewe mwenye uelewa mdogo utahoji tu kwa nn hajui kiingereza vizuri wakati ana PhD. Kiingereza ni lugha tu kama kimakonde na ukitaka kujua hilo vuka hapo malawi utakuta dogo yupo porini anachunga kamaliza primary lkn anapiga kiingereza kwa mjinga kama wewe ukimuona utasema huyu nchini kwetu anafaa kuwa Rais wa nchi.
we utakuwa ma matatizo kichwani tz tunasoma kwa kiswahili au unataka kuleta ligi tu basi nenda wewe kawe waziri wa elimu tukuone unavyoongea english
Weka video isiyo feki tulinganishe.Deep fake video hiyo, Prof anaweza kuongea English safi mno.
Hivyo vigezo vyako haviuondoi ukweli kwamba hatuna utamaduni wa kuongea kingereza tangu utotoni.Kama ni lugha iliyokuja na meli mbona Taarifa za hukumu kwenye mahakama zenu zinaandikwa kwa hiyo lugha ?, mbona hamjawahi kuikataa ?!, na ndio maana mnaandikiwa hukumu ambayo hata hamuwezi kuihoji kwa sababu imeandikwa kwa lugha isiyo yenu, mahospitalini kote umewahi kukuta Daktari anaandika kwa Kiswahili ?.
Majukumu yao wanayatimiza kwa umahiri mkubwa sana mpaka ujumbe unawafikia hao wenye kukijua kingereza vyema.Ila kweli inachekekesha na kuleta maswali mengi, waziri wa elimu hawezi kuongea sentensi moja ya kingereza iliyonyooka!! Achana na jiwe mana huyo ndiyo balaa sasa na wote wana PhD eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu ruksa mkuu NEVADA.Acha matusi fala wewe .
Kama huna cha kujadili humu simply fvck off ! , this thread is far beyond your mental capacity.
Kajadili udaku huko
Mkuu imhotep inawezekana hata wewe ukipewa hizo nafasi kubwa ukatakiwa utoe mhadhara mbele ya umati ukajikuta unazichanganya past na present tense, hilo lugha huwa hatuiongei mtaani wakati wa kununua maua au nyanya sokoni.Kati ya hawa mawaziri Wahutu ni Mpango pekee yake ndio huwa anatema yai lakini huyu mama na Kigwa na wenzake ni bure kabisa
Unalazimishaje kuongea usichokijua?Huna akili ,aliyekwambia kujua English ndiyo ishara ya usomi ni nani?
Karne hii bado unaamini anyeongea kiingereza vizuri ndiyo msomi??
Hovyo kabisa ,shithole mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo hutumia idara za lugha kuwasaidia wanafunzi wenye matege ya lugha kunyosha kazi zao.Hiyo Phd yake lugha aliyotumia kuipata ni kingereza, kushindwa kuzungumza kingereza vizuri ni lazima tuwe na mashaka research na thesis alizifanyaje?
Angekuwa Mrusi au mchina ingeeeweka lakini kaipata kwa Kingereza
Tafuta njia nyingine ya kuwasilisha utetezi wako kwa Prof, hapo umejiaibisha bureDeep fake video hiyo, Prof anaweza kuongea English safi mno.
Hizi Fitina Jamani, huyo Mama amekukosea nini?Huyu Manzi ni kilaza wanaCCM wakubali hilo
Mkuu una Hoja ya msingi sana, yaani huyu ndie waziri wetu tena wa elimu !!.Binafsi huwa naamini ni rahisi zaidi kuzungumza lugha yoyote ile kuliko kuandika endapo utakuwa ktk jamii ambayo lugha husika hutumika. Kinachoniogopesha kuhusu hawa wasomi wetu baadhi yao hasa hasa waliofika ngazi ya uzamivu (PhD) kama huyu mama ni kushindwa kuzungumza lugha anayoitumia kila siku kwa ufasaha.
Kwa hadhi yake kama waziri, mtafiti na mtaaluma nina uhakika kwa siku ktk masaa 8 ya kazi si chini ya masaa 3 hutumia lugha ya kiingereza kuwasiliana na wadau mbali mbali ktk sekta ya elimu. Hofu yangu kubwa ni je hata uwezo wake kiutendaji unafanana na uzungumzaji wa lugha kiingereza?
Ni zwazwa huyo waziri wenu, ni heri hata wale wanafunzi waliowafukuza pale Udom mwaka ule wakiwaita vilaza, hivi nani kilaza kati wale wanafunzi na ndalichako na magu ?Hizi Fitina Jamani, huyo Mama amekukosea nini?
Fitina Hazijenga Mzee wa Heru Juu . Elimu siyo kuongea kiingereza.