Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mimi binafsi sitashiriki hiyo kesho kupiga kura. Ila ninaunga mkono mabadiliko. Watanzania Wazalendo wajitokeze kwa wingi kumchagua Mh. Tundu Antipas Lissu.
Ifikie wakati tuwe na utaratibu wa kupokezana madaraka. Haiwezekani tangu Uhuru tutawaliwe na watu wale wale, vyama vile vile na mtazamo ule ule. Mabadiliko hayakwepeki nchini mwetu.
Chagua Lissu ili kuondokana na Udikteta wa CCM na Viongozi wake.
Ifikie wakati tuwe na utaratibu wa kupokezana madaraka. Haiwezekani tangu Uhuru tutawaliwe na watu wale wale, vyama vile vile na mtazamo ule ule. Mabadiliko hayakwepeki nchini mwetu.
Chagua Lissu ili kuondokana na Udikteta wa CCM na Viongozi wake.