Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama mambo ni shwari si mtulie...Lisu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.
Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
Said Kubenea aliyekuwa mbunge wa Ubungo kupitia Chadema na sasa mwanachama wa ACT Wazalendo ndiye anaongoza mpambano huu kupitia gazeti lake la Raia Mwema. Gazeti la Raia Mwema wakati likimilikwa na Jenarali Ulimwengu lilikuwa moja.ya magazeti machache yaliyokuwa yanaheshimiwa,lakini tangu Kubenea alinunue limekosa weledi halina tofauti na Tanzanite la cyprian musiba.Lisu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.
Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
kama kuna ujinga, ukinyamaza ni kuwa you agree with that ujinga.kama mambo ni shwari si mtulie...
A very good observationSaid Kubenea aliyekuwa mbunge wa Ubungo kupitia Chadema na sasa mwanachama wa ACT Wazalendo ndiye anaongoza mpambano huu kupitia gazeti lake la Raia Mwema. Gazeti la Raia Mwema wakati likimilikwa na Jenarali Ulimwengu lilikuwa moja.ya magazeti machache yaliyokuwa yanaheshimiwa,lakini tangu Kubenea alinunue limekosa weledi halina tofauti na Tanzanite la cyprian musiba.
Muda utaongea.kama kuna ujinga, ukinyamaza ni kuwa you agree with that ujinga.
Haihitaji akili kubwa kujua Mbowe ni Mfanyabiashara na Tundu Lisu ni Mwanaharakatikama kuna ujinga, ukinyamaza ni kuwa you agree with that ujinga.
Umeamua kuwachana wachawi😅😅Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.
Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba