Juhudi kubwa zinafanywa kumgombanisha Lissu na Mbowe. Hamtafanikiwa. Ukweli hi huu

Juhudi kubwa zinafanywa kumgombanisha Lissu na Mbowe. Hamtafanikiwa. Ukweli hi huu

Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.

Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
Stroke unamuona huyu anaandika upuuzi mtupu. Retired Msikilize Lissu hapa chini na unyamaze milele. Au utasema sauti si yake
 
Stroke unamuona huyu anaandika upuuzi mtupu. Retired Msikilize Lissu hapa chini na unyamaze milele. Au utasema sauti si yake
View attachment 2616459
Sugu na wengine wanaoongelea kugombea na hawaweki mkazo kudai na kuhamasisha Katiba mpya ni wapuuzi.

Anaongelea kugombea ubunge bila kujua Sanduku la kura limeibwa.

KATIBA mpya kwanza, ubunge BAADAYE.
 
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.

Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
Amina!
 
Jambo lililo jema, wote wawili, Mbowe na Lisu ni watu wenye uelewa mkubwa, wanaoyaona mambo kabla hayajatokea.

Hao wajinga, hayo wanayoyafanya, hawa watu wawili tayari wamekuwa wanayategemea. Hivyo hakuna chochote cha kuwatikisa. Wajinga wanaoona wanafabya kazi kubwa, kumbe wanapoteza muda wao.
 
Wanagombanishwa na Nani?
Lissu kwa mdomo wake amesema mwenyekiti hana akili kukubali ubunge wa kupewa
Hata kama utakuwa huna uelewa, hata masikio hayafanyi kazi? Ni tatizo tu kusikia au na akili pia?

Ni lini Lisu amewahi kuutamka huo uwongo wako. Kama huna uelewa, si ungekuwa unawauliza wenye uwezo wa kusikia na kumbukumbu nzuri?
 
Lissu kayaongea maneno kuwa wanaitwa chemba ili wahongwe majimbo ya uchaguzi.

Sote tumesikia usitudanganye ndugu mfia chama cha walamba asali.
Ukiona Lisu anaongea jambo ujue wamekubaliana kwenye uongozi wa juu wa chama.
 
Stroke unamuona huyu anaandika upuuzi mtupu. Retired Msikilize Lissu hapa chini na unyamaze milele. Au utasema sauti si yake
View attachment 2616459
Mboba Lisu ameongea vema? Au kuna lolote umeliona siyo sahihi?

Lisu naona anamjibu Japipo aliyesema kuwa CHADEMA wasigombee Urais, wamwacha Samia awe mgombea pekee, na wao CHADEMA wapewe ubunge.
 
..Mazungumzo ya Maridhiano yamekuwa yakienda kwa kasi ndogo.

..Na inaelekea CCM hawana nia ya dhati ya kuyafanikisha.

..Lissu hapingi maridhiano, bali anataka yawe na tija na yaende kwa haraka zaidi.

..Bila pressure ya wananchi na wanachadema huku nje Mbowe hawezi kuwa effective ktk meza ya majadiliano.
 
Jambo lililo jema, wote wawili, Mbowe na Lisu ni watu wenye uelewa mkubwa, wanaoyaona mambo kabla hayajatokea.

Hao wajinga, hayo wanayoyafanya, hawa watu wawili tayari wamekuwa wanayategemea. Hivyo hakuna chochote cha kuwatikisa. Wajinga wanaoona wanafabya kazi kubwa, kumbe wanapoteza muda wao.
Sahihi
 
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.

Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
Kwa hiyo unataka kuhalalisha lisu aishi kwa kumtumikia mbowe, maisha yake yote ,iwe Kama fidia ya kulipa fadhira!!!

NB.Lisu hakufa kwa sababu mola wake hakutaka afe,na si mbowe !! Lisu fanya unachoona ni sahihi kwako/taifa ,Sasa hivi watataka wakugeuze mzukule wa mbowe!!
 
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.

Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
 
Jambo lililo jema, wote wawili, Mbowe na Lisu ni watu wenye uelewa mkubwa, wanaoyaona mambo kabla hayajatokea.

Hao wajinga, hayo wanayoyafanya, hawa watu wawili tayari wamekuwa wanayategemea. Hivyo hakuna chochote cha kuwatikisa. Wajinga wanaoona wanafabya kazi kubwa, kumbe wanapoteza muda wao.
Nilipomsikia Dr Mwigullu PhD akitamba Kanisani mbele ya baba askofu Dr Shoo kwamba amemrudisha nyumbani shemeji yake Godbless Lema nikajua Tundu Lisu ndio basi tena!
 
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was.

Hivyo ujinga wenu utagonga mwamba
CCM Wana vijana Wapumbavu sana sana
 
Back
Top Bottom