Juhudi zifanyike wapenyezewe Al Hilal au CAF hii issue ya madawa (Sindano za kuongeza nguvu)

Juhudi zifanyike wapenyezewe Al Hilal au CAF hii issue ya madawa (Sindano za kuongeza nguvu)

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
 
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tulichukua hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
🚮
 
Al hilal na Ibenge Walisha cheza na Yanga hapo kabla na Baada ya mechi ya pili kule Sudani Japo Yanga ilipoteza ila Yanga ilicheza mpira mkubwa Sana wa kushanbulia.

Kocha Ibenge baada ya mechi alisema, Yanga mmecheza mpira mkubwa na japo hamkupata Matokeo Leo ila uko mnapo elekea mtafika mbali kwakua mna cheza vizuri na mpo fair.

Kweli Yanga ilifikia hatua Ya fainali kwenye shirikisho na nakumbuka Baada ya kwisha mechi Ile wakati wachezaji wa Yanga wakitoka uwanjani kule Sudani Kuna video zilionyesha mashabiki wa Al hilal wakipiga makofi kuonyesha ku ukubali mziki wa Yanga.

Nawakumbusha mbumbumbu fc hakuna timu iliyokuja kucheza na Yanga na kulalamika vitendo vya hujuma/hovyo kufanyiwa na timu mwenyeji kama inavyo lala mikiwa Simba kw miaka mingi.

Simba ndio timu iliyo lalamikiwa kule CAF na vilabu vingi vinavyo kuja kucheza kwa Mkapa kwa mambo ya hovyo ya kishirikina na maamuzi tata uwanjani.
 

Attachments

  • VID-20241110-WA0000.mp4
    2.4 MB
Usisahau kuwambia na kuhusu wale wanaomwaga madawa uwanjani na vyumbani na kutembea kinyumenyume kwenda uwanjani
au hawa
1731546741966.png
 
Al hilal na Ibenge Walisha cheza na Yanga hapo kabla na Baada ya mechi ya pili kule Sudani Japo Yanga ilipoteza ila Yanga ilicheza mpira mkubwa Sana wa kushanbulia.

Kocha Ibenge baada ya mechi alisema, Yanga mmecheza mpira mkubwa na japo hamkupata Matokeo Leo ila uko mnapo elekea mtafika mbali kwakua mna cheza vizuri na mpo fair.

Kweli Yanga ilifikia hatua Ya fainali kwenye shirikisho na nakumbuka Baada ya kwisha mechi Ile wakati wachezaji wa Yanga wakitoka uwanjani kule Sudani Kuna video zilionyesha mashabiki wa Al hilal wakipiga makofi kuonyesha ku ukubali mziki wa Yanga.

Nawakumbusha mbumbumbu fc hakuna timu iliyokuja kucheza na Yanga na kulalamika vitendo vya hujuma/hovyo kufanyiwa na timu mwenyeji kama inavyo lala mikiwa Simba kw miaka mingi.

Simba ndio timu iliyo lalamikiwa kule CAF na vilabu vingi vinavyo kuja kucheza kwa Mkapa kwa mambo ya hovyo ya kishirikina na maamuzi tata uwanjani.
Nakazia hapa, nakumbuka HILAL alipack basi akiwa kwake..
 
Al hilal na Ibenge Walisha cheza na Yanga hapo kabla na Baada ya mechi ya pili kule Sudani Japo Yanga ilipoteza ila Yanga ilicheza mpira mkubwa Sana wa kushanbulia.

Kocha Ibenge baada ya mechi alisema, Yanga mmecheza mpira mkubwa na japo hamkupata Matokeo Leo ila uko mnapo elekea mtafika mbali kwakua mna cheza vizuri na mpo fair.

Kweli Yanga ilifikia hatua Ya fainali kwenye shirikisho na nakumbuka Baada ya kwisha mechi Ile wakati wachezaji wa Yanga wakitoka uwanjani kule Sudani Kuna video zilionyesha mashabiki wa Al hilal wakipiga makofi kuonyesha ku ukubali mziki wa Yanga.

Nawakumbusha mbumbumbu fc hakuna timu iliyokuja kucheza na Yanga na kulalamika vitendo vya hujuma/hovyo kufanyiwa na timu mwenyeji kama inavyo lala mikiwa Simba kw miaka mingi.

Simba ndio timu iliyo lalamikiwa kule CAF na vilabu vingi vinavyo kuja kucheza kwa Mkapa kwa mambo ya hovyo ya kishirikina na maamuzi tata uwanjani.
Kuna timu kutoka Nigeria ilitufunga ndani na nje,sijui inaitwaje ile... ila tuliwafanyia hujuma na bado tukafungwa.
 
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
Mnaigopa sana Yanga. Timu zina madaktari. Issue ya kuchoma sindano hakuna team duniani Daktari wa wachezaji anakuwa hana sindano kama sehemu ya huduma ya kwanza endapo tatizo likitokea uwanjani.

Kagueni mikoba yote ya madktari nchini muone kama hakutakuwa na syringe kwenye mabegi yao. Kukutwa kwa syringe kwenye dustibin za vyumba vya kubadilishia nguo hakuna dhambi.

Matibabu ya mchezaji aliyeumia uwanjani huwa wanachomwa sindano kuzuia kuvilia kwa damu ili kurahisisha matibabu au kupona haraka kwa jeraha husika. Mfano kama aligonga goti na kuwa na mvilio eneo hilo sindano inaweza kuchomwa directly eneo hilo. Hakuna kosa kwenye hili wala kwenye ulimwengu wa michezo. Dawa zingine huchomwa ili kutuliza maumivu mchezaji aweze kucheza mpira.
Kwa sisi wakongwe kidogo tutakumbuka Wayne Rooney alienda Germany 2006 kwenye kombe la dunia akiwa hajapona vizuri majeraha. Alicheza akiwa anachomwa sindano za maumivu.
Mara kadhaa tumesikia wachezaji duniani wakisema wao wenyewe au management kuwa amecheza akiwa na maumivu ya sehemu fulani. Nini kilimsaidia mchezaji kuendelea kucheza? Ni dawa za maumivu.

Kwenye mechi ya Yanga na Azam mnajua wachezaji walioumia kipindi cha kwanza. Pia mechi dhidi ya Tabora mnajua wachezaji waliomuia . Mlitegemea wawaache wakia kwenye maumivu makali wakina Bocca, Kibabage, Andambwile bila huduma ya kwanza?

Kauli ya Ally Kamwe kuhusu wachezaji wanaoachwa na Simba kurudi kuwa vijana wakijiunga na Yanga si ajabu. Mnamkumbuka Juma Kaseja, Amis Tambwe, Kelvin Yondani waliocheza kwa muda mrefu na kwa mafanikio Yanga baada ya kuachwa na Simba.
 
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
mbumbumbu always ni mbumbumbu komaeni na huu upepo mwisho wa msimu mtasema GSM ananunua mechi
 
Back
Top Bottom