Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Wanajizima data kama alivyosema mwenyekiti wao wa wazamani
Ume
Umeniwahi
NAMI nilimuuliza kolo swali hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ume
Umeniwahi
NAMI nilimuuliza kolo swali hili
Nmeandika kama mtu nnaejitambua.Hapa umeandika kama topolo
Moja ya sifa za mbumbumbu ni ukosefu wa kumbu kumbuUnakumbuka magoli mawili ya Samson Mbangula prison inashinda ikiwa pungufu mtu mmoja kwenye uwanja wa nyumbani wa makolo pale Jamhuri Morogoro? Baada ya ile mechi Simba ilihama uwanja. Unakumbuka ni nini kilifanya Simba ihame kuutumia uwanja wake wa nyumbani CCM Kirumba? Unakumbuka kilichofanya Simba ihame uwanja wake wa nyumbani Azam complex. Ukiwauliza Makolo watakwambia timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja hivyo.
Walikuwa wamefungwa mechi ngapi mfululizo?Wale waliohama uwanja wa uhuru wakaenda ccm kirumba
Halafu wakaenda Azam
Halafu wakatapatapa mpaka uwanja wa jamhuri walikua kina Nani tena
Ile video ya masindano iweke hapaHapo vip!!
Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.
Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.
Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
Mnafungwa na bado wachezaji wanavuta shisha [emoji23] hadi mmmemfukuza kocha msaidizi na bado kocha mkuu yukomguu nje 98%Ulitaka sababu zetu zifanane na zenu?
Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavuKipindi kile sisi mashabiki wa Yanga tulikuja na wimbo Simba mnawapulizia spray wapinzani wenu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Kuja kushtuka mkachukua ubingwa mara nne mfululizo.
Hizi propaganda hazitawafikisha popote. Kila siku Yanga anazidi kutanua gepu la ubora kati yake na Simba. Msipojitathimini hii Yanga itawaacha mbali sana.
Muda utaongea.Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavu
Muda utaongea.Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavu
Una wiki mbili za furahaMnafungwa na bado wachezaji wanavuta shisha [emoji23] hadi mmmemfukuza kocha msaidizi na bado kocha mkuu yukomguu nje 98%
Kumbatia nyuki ule asali..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Una wiki mbili za furaha
KWANINI USIWAPENYEZEE WEWE HAO AL HILAL MPK UTAFUTE KUNDI LA WATU KUFANYA HIVYOHapo vip!!
Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.
Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.
Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
Waache waji keep busy na Yanga wanasahau wapo kwenye kombe la losersKWANINI USIWAPENYEZEE WEWE HAO AL HILAL MPK UTAFUTE KUNDI LA WATU KUFANYA HIVYO
Sisi ndiyo Yanga SC AKASisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152493