Juhudi zifanyike wapenyezewe Al Hilal au CAF hii issue ya madawa (Sindano za kuongeza nguvu)

Juhudi zifanyike wapenyezewe Al Hilal au CAF hii issue ya madawa (Sindano za kuongeza nguvu)

Unakumbuka magoli mawili ya Samson Mbangula prison inashinda ikiwa pungufu mtu mmoja kwenye uwanja wa nyumbani wa makolo pale Jamhuri Morogoro? Baada ya ile mechi Simba ilihama uwanja. Unakumbuka ni nini kilifanya Simba ihame kuutumia uwanja wake wa nyumbani CCM Kirumba? Unakumbuka kilichofanya Simba ihame uwanja wake wa nyumbani Azam complex. Ukiwauliza Makolo watakwambia timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja hivyo.
Moja ya sifa za mbumbumbu ni ukosefu wa kumbu kumbu
 
Wale waliohama uwanja wa uhuru wakaenda ccm kirumba
Halafu wakaenda Azam
Halafu wakatapatapa mpaka uwanja wa jamhuri walikua kina Nani tena
Walikuwa wamefungwa mechi ngapi mfululizo?
 
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
Ile video ya masindano iweke hapa
 
Kipindi kile sisi mashabiki wa Yanga tulikuja na wimbo Simba mnawapulizia spray wapinzani wenu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Kuja kushtuka mkachukua ubingwa mara nne mfululizo.

Hizi propaganda hazitawafikisha popote. Kila siku Yanga anazidi kutanua gepu la ubora kati yake na Simba. Msipojitathimini hii Yanga itawaacha mbali sana.
 
Kipindi kile sisi mashabiki wa Yanga tulikuja na wimbo Simba mnawapulizia spray wapinzani wenu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Kuja kushtuka mkachukua ubingwa mara nne mfululizo.

Hizi propaganda hazitawafikisha popote. Kila siku Yanga anazidi kutanua gepu la ubora kati yake na Simba. Msipojitathimini hii Yanga itawaacha mbali sana.
Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavu
 
Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavu
Muda utaongea.
 
Yanga ipi?? Hii ya akina aziz ki wanaovuta shisha na malaya kwenye mabaa huko au yanga ipi wanaojidunga sindano na kutumia uchawi ..mechi 2 tu mnahama uwanja sbaabu mnakwepa ccctv kamera..bladfaken mnaenda kuzikuta huko kmc manina. Hakuna timu ya kuiacha simba mbali tusidanganyane hapa kama watoto bumbavu
Muda utaongea.
 
Hapo vip!!

Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.

Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.

Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
KWANINI USIWAPENYEZEE WEWE HAO AL HILAL MPK UTAFUTE KUNDI LA WATU KUFANYA HIVYO
 
Yanga ndio timu pekee iliyowakilisha Tanzania Kiongozi wake Katibu Mkuu Issa Makongoro akifungiwa maisha kwa kujaribu kuwahonga waamuzi kutoka Ethiopia kwenye mashindano ya Klabu bingwa ya Afrika.Walikuwa wanacheza na Gor Mahia ya Kenya.
Upuuzi huu walianza zamani.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-751034406.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152493
Sisi ndiyo Yanga SC AKA

Manyani na Mammbwa SC
Sindano dawa za kuongeza nguvu SC
Jini Maimuna SC
Hamisa Mobeto Buzi la Aziz Ki SC
Mihadarati SC
Wavuta Shisha SC
Nyuki Asali SC
Mpumelelo pumuuuuu SC
Wachawi SC
Watembea uchi usiku kwenye viwanja SC
Wacheza Vigodoro SC.
Wagombaniwa na maraya SC
Kimoko cha chamazi SC
Wakimbizi kwenye viwanja vya watu SC
CCTV CAMERA SC
Uto de Supu la Ngo'mbe SC
 
Back
Top Bottom