Ujinga huu.Hapo vip!!
Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.
Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.
Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
Ila hatujahama sababu tumefungwa.nyie kupigwa goli 4 mechi 2 mfululizo uwanja moja mmekimbia🤣🤣🤣Msimu jana 5imba imetumia viwanja vingapi?
Ulitaka sababu zetu zifanane na zenu?Ila hatujahama sababu tumefungwa.nyie kupigwa goli 4 mechi 2 mfululizo uwanja moja mmekimbia🤣🤣🤣
Ulitaka sababu zetu zifanane na zenu?
Mapema tu ukapigwa kidude wanaume wakarudi nyuma kulinda ushindi waoNakazia hapa, nakumbuka HILAL alipack basi akiwa kwake..
Kuchomwa sindano wachezaji sio Jambo geni hasa Kama mchezaji tegemeo tatizo ni idadi ya mabomba ya sindano yaliyokutwa yanazua wasiwasi.Mnaigopa sana Yanga. Timu zina madaktari. Issue ya kuchoma sindano hakuna team duniani Daktari wa wachezaji anakuwa hana sindano kama sehemu ya huduma ya kwanza endapo tatizo likitokea uwanjani.
Kagueni mikoba yote ya madktari nchini muone kama hakutakuwa na syringe kwenye mabegi yao. Kukutwa kwa syringe kwenye dustibin za vyumba vya kubadilishia nguo hakuna dhambi.
Matibabu ya mchezaji aliyeumia uwanjani huwa wanachomwa sindano kuzuia kuvilia kwa damu ili kurahisisha matibabu au kupona haraka kwa jeraha husika. Mfano kama aligonga goti na kuwa na mvilio eneo hilo sindano inaweza kuchomwa directly eneo hilo. Hakuna kosa kwenye hili wala kwenye ulimwengu wa michezo. Dawa zingine huchomwa ili kutuliza maumivu mchezaji aweze kucheza mpira.
Kwa sisi wakongwe kidogo tutakumbuka Wayne Rooney alienda Germany 2006 kwenye kombe la dunia akiwa hajapona vizuri majeraha. Alicheza akiwa anachomwa sindano za maumivu.
Mara kadhaa tumesikia wachezaji duniani wakisema wao wenyewe au management kuwa amecheza akiwa na maumivu ya sehemu fulani. Nini kilimsaidia mchezaji kuendelea kucheza? Ni dawa za maumivu.
Kwenye mechi ya Yanga na Azam mnajua wachezaji walioumia kipindi cha kwanza. Pia mechi dhidi ya Tabora mnajua wachezaji waliomuia . Mlitegemea wawaache wakia kwenye maumivu makali wakina Bocca, Kibabage, Andambwile bila huduma ya kwanza?
Kauli ya Ally Kamwe kuhusu wachezaji wanaoachwa na Simba kurudi kuwa vijana wakijiunga na Yanga si ajabu. Mnamkumbuka Juma Kaseja, Amis Tambwe, Kelvin Yondani waliocheza kwa muda mrefu na kwa mafanikio Yanga baada ya kuachwa na Simba.
Hapa umeandika kama topoloHuko kwenu hawawangi uchi? Hamdungwi sindano?
Unataka kusema hata Fainali ya shirikisho, Yanga walifika kwa kujidunga madawa!Hapo vip!!
Kwa uzito wa jambo hili kutokana na madhara yake kwenye ulimwengu wa soko sio swala la kufumbia macho au kuliongelea na kuliacha hewani,hewani.
Nafikiri tuchukue hatua zaidi ya kuwadokezea Al Hilal au CAF inakuwa vizuri ili hii tabia ya kihuni kwenye michezo ikomeshwe kwa adhabu kali sana.
Nimekua natafakati msemo wa ali kamwe eti mchezaji akitoka Simba ata kama ameshuka kiwango Simba wakamfukuza, anakuja kuwa mpya yanga...kwenye hii kauli kuna uhusiano mkubwa na haya madawa.
Tutaelewana polepole. Angalau wewe sasa unaelewa inabidi uwaeleweshe wenzio kuwa wachezaji kuchomwa sindano kabla, wakati wa mapumziko na baada ya mechi ni jambo la kawaida hasa kama mchezaji ni muhimu na anahitajika acheze mechi.Kuchomwa sindano wachezaji sio Jambo geni hasa Kama mchezaji tegemeo tatizo ni idadi ya mabomba ya sindano yaliyokutwa yanazua wasiwasi.
Kaseja, Yondani na Tambwe haeakuondoka Simba wakiwa wazee.
Unakumbuka magoli mawili ya Samson Mbangula prison inashinda ikiwa pungufu mtu mmoja kwenye uwanja wa nyumbani wa makolo pale Jamhuri Morogoro? Baada ya ile mechi Simba ilihama uwanja. Unakumbuka ni nini kilifanya Simba ihame kuutumia uwanja wake wa nyumbani CCM Kirumba? Unakumbuka kilichofanya Simba ihame uwanja wake wa nyumbani Azam complex. Ukiwauliza Makolo watakwambia timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja hivyo.utopolo ndo timu ya kwanza duniani.
Au tangu dunia iumbwe.yaani timu ikifungwa inahama uwanja .haijawahi kutokea.mnatakiwa muingie kwenye rekodi za Guinness
Hivi Samson Mbangula wa Prison hakuwahamisha kwenye uwanja wenu wa nyumbani Jamhuri Morogoro msimu uliopita? Au unasahau yule beki wenu alivyolambishwa nyasi kwenye kumi na naneIla hatujahama sababu tumefungwa.nyie kupigwa goli 4 mechi 2 mfululizo uwanja moja mmekimbia🤣🤣🤣
Wale waliohama uwanja wa uhuru wakaenda ccm kirumbautopolo ndo timu ya kwanza duniani.
Au tangu dunia iumbwe.yaani timu ikifungwa inahama uwanja .haijawahi kutokea.mnatakiwa muingie kwenye rekodi za Guinness
UmeniwahiUnakumbuka magoli mawili ya Samson Mbangula prison inashinda ikiwa pungufu mtu mmoja kwenye uwanja wa nyumbani wa makolo pale Jamhuri Morogoro? Baada ya ile mechi Simba ilihama uwanja. Unakumbuka ni nini kilifanya Simba ihame kuutumia uwanja wake wa nyumbani CCM Kirumba? Unakumbuka kilichofanya Simba ihame uwanja wake wa nyumbani Azam complex. Ukiwauliza Makolo watakwambia timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja hivyo.
Kama mtu anajiita "anajiita mjinga" unategemea awe na akili, achana nae mkuuUnakumbuka magoli mawili ya Samson Mbangula prison inashinda ikiwa pungufu mtu mmoja kwenye uwanja wa nyumbani wa makolo pale Jamhuri Morogoro? Baada ya ile mechi Simba ilihama uwanja. Unakumbuka ni nini kilifanya Simba ihame kuutumia uwanja wake wa nyumbani CCM Kirumba? Unakumbuka kilichofanya Simba ihame uwanja wake wa nyumbani Azam complex. Ukiwauliza Makolo watakwambia timu yao haikuwa na matokeo mazuri kwenye viwanja hivyo.