Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzazi aliyeenda kumpiga Mwalimu shuleni alibaki salama?Wakuu,
Nani ana jukumu la kuweka mazingira ya shule safi? Ni walimu, wanafunzi au watu maalum wa kufanya usafi?
Shule hasa za serikali wanafunzi ndio huwa wanakuwa na jukumu la kufanya usafi kwenye mazingira ya shule kwa kufagia uwanja, ofisi za walimu, kusafisha vyoo na hata wakipewa adhabu zinakuwa za kusafisha ama kulima kwenye maeneo ya shule na wakati mwingine huambiwa kufanya usafi hata kwenye nyumba za walimu.
Jambo hilo limekuwa likileta msuguano kati ya wazazi na walimu, na tukio la hivi karibuni mzazi kaenda kumpiga mwalimu sababu ya kumchapa mwanafunzi aliyekataa kudeki darasa.
Sasa je, nani ana jukumu la kufanya usafi kwenye mazingira ya shule?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdau alisema ni jukumu la walimu maana serikali inawalipa
Hata kwetu, tena wanafunzi wanafanya kazi had kwenye nyumba za walimu.Ni jukumu la Mwanafunzi/Wanafunzi...
Kwetu huko Kaskazini tulikuwa tunadeki madarasa, kufagia maeneo kila siku..Nadhani hadi leo.
Kiukweli Mimi ni mwalimu wa sekondari Tena sayansi,najimudu kitaaluma na kihojo.mzazi kama hiyo kwangu angekula kipigo na kumfungulia kesi ya uvamizi kwenye majengo ya serikali na kukwamisha shughuli za ufundishaji.Duh!! Mzazi kampiga Mwalimu kisa mwanae amepewa kazi ya kusafisaha mazingira halafu kesho toto kama hili likiwa halina nidhamu halimuheshimu wala kumsikiliza mtu yoyote kutokana na malezi mabovu alioyapata kutoka kwa wazazi wake mnashangaa
Mimi miaka ya themanini wakati nasoma sio usafi tu tulikuwa tunalima mpaka mashamba ya shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, hivi Ushoga unasababishwa na kuwa legelege?Mitoto ya sahv legelege tu
Na huko mbeleni ushoga utazidi
Mara dufu
Ova
Ukute ulinywea na kuchapwa stick na mzazi, mfyuuuhKiukweli Mimi ni mwalimu wa sekondari Tena sayansi,najimudu kitaaluma na kihojo.mzazi kama hiyo kwangu angekula kipigo na kumfungulia kesi ya uvamizi kwenye majengo ya serikali na kukwamisha shughuli za ufundishaji.
Nilishawahi kufanya hivyo kipindi Cha nyuma.Nilimpa adhabu form 6,akagoma,akaenda kumleta mzazi naye akaja wa moto eti akanishika shati.Nilimpa kibano then nikamwita mlinzi akamweka chini ya ulinzi.Nilienda kituo Cha polisi kuripoti kuwa nimevamia na mzazi shuleni.Yeye na mtoto wake walibebwa na difenda kupelekwa kituoni.
Sasa Mimi nashangaa eti mwalimu anapigwa na mzazi Tena shuleni,Mimi utaniua labda iwe mtaani
Inawalipa kufanya usafi au kufundisha?Kuna mdau alisema ni jukumu la walimu maana serikali inawalipa
Ni Moja ya kisababishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, hivi Ushoga unasababishwa na kuwa legelege?
Wanafunzi hawalipwi, wao ndo wanalipa ada.Inawalipa kufanya usafi au kufundisha?
Sio uungwana unampigaje mwalimu kwangu mm mwalimu ana hadhi sawa na mchungaji siwez hata mjibu vibaya .kama kuna jambo tutajadili kama mshirika wangu kwenye maleziKiukweli Mimi ni mwalimu wa sekondari Tena sayansi,najimudu kitaaluma na kihojo.mzazi kama hiyo kwangu angekula kipigo na kumfungulia kesi ya uvamizi kwenye majengo ya serikali na kukwamisha shughuli za ufundishaji.
Nilishawahi kufanya hivyo kipindi Cha nyuma.Nilimpa adhabu form 6,akagoma,akaenda kumleta mzazi naye akaja wa moto eti akanishika shati.Nilimpa kibano then nikamwita mlinzi akamweka chini ya ulinzi.Nilienda kituo Cha polisi kuripoti kuwa nimevamia na mzazi shuleni.Yeye na mtoto wake walibebwa na difenda kupelekwa kituoni.
Sasa Mimi nashangaa eti mwalimu anapigwa na mzazi Tena shuleni,Mimi utaniua labda iwe mtaani
Ile nchi natamani sana siku Moja nikajifunze mfumo wao wa malezi ya shule maana hutoa watu wenye nidham sanaJapan wanafunzi sio tu husafisha shule bali husafisha mitaa inayowazunguka pia