Jukumu la kufanya usafi kwenye mazingira ya shule ni la nani?

Huyo mzazi aliyeenda kumpiga Mwalimu shuleni alibaki salama?
 
Kiukweli Mimi ni mwalimu wa sekondari Tena sayansi,najimudu kitaaluma na kihojo.mzazi kama hiyo kwangu angekula kipigo na kumfungulia kesi ya uvamizi kwenye majengo ya serikali na kukwamisha shughuli za ufundishaji.
Nilishawahi kufanya hivyo kipindi Cha nyuma.Nilimpa adhabu form 6,akagoma,akaenda kumleta mzazi naye akaja wa moto eti akanishika shati.Nilimpa kibano then nikamwita mlinzi akamweka chini ya ulinzi.Nilienda kituo Cha polisi kuripoti kuwa nimevamia na mzazi shuleni.Yeye na mtoto wake walibebwa na difenda kupelekwa kituoni.
Sasa Mimi nashangaa eti mwalimu anapigwa na mzazi Tena shuleni,Mimi utaniua labda iwe mtaani
 
Ukute ulinywea na kuchapwa stick na mzazi, mfyuuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio uungwana unampigaje mwalimu kwangu mm mwalimu ana hadhi sawa na mchungaji siwez hata mjibu vibaya .kama kuna jambo tutajadili kama mshirika wangu kwenye malezi
 
Wafanyakazia maalum walioweka kwa ajili ya usafi tu maana wanafunzi wapo kwa elimu bora sio kwa ajili ya usafi , mtoto akisumbuliwa sana kusoma nikazi angalia tu waliofanikiwa maisha ni wale waliojuwa maprefect mamonitor maana wao wakiamka tu wao huwa wanajiandaa kwenda kusoma tu sio usafi hawawazi cha maji wanatoa wapi kwanini wasifaulu
 
Japan wanafunzi sio tu husafisha shule bali husafisha mitaa inayowazunguka pia
Ile nchi natamani sana siku Moja nikajifunze mfumo wao wa malezi ya shule maana hutoa watu wenye nidham sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…