ephen_ plz plz make sure you take part and kwakweli be responsible, ili hatimae our very able comrade Lucas Mwashambwa aweza kutekeleza majukumu yake mazito na muhimu sana kwa chama na serikali, effectively and with efficiency πNalipenda sana jukwaa la siasa na ndio muda wote nashinda huko .
Lakini jukwaa la Habari na hoja mchanganyiko nimetokea kulipa heshima yake na kulipenda maana ndiko niliko mkuta na kunikutanisha na Binti ephen Mwanajeshi wa akiba aliyeuteka moyo wangu wote na kuunasa kama Sumaku.
ephen ephen popote ulipo wewe ndiye umenifanya nilipe heshima yake na kulipenda jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.
πNalipenda sana jukwaa la siasa na ndio muda wote nashinda huko .
Lakini jukwaa la Habari na hoja mchanganyiko nimetokea kulipa heshima yake na kulipenda maana ndiko niliko mkuta na kunikutanisha na Binti ephen Mwanajeshi wa akiba aliyeuteka moyo wangu wote na kuunasa kama Sumaku.
ephen ephen popote ulipo wewe ndiye umenifanya nilipe heshima yake na kulipenda jukwaa la habari na hoja mchanganyiko.
Lucas yupo kwenye mikono Salama..!ephen_ plz plz make sure you take part and kwakweli be responsible, ili hatimae our very able comrade Lucas Mwashambwa aweza kutekeleza majukumu yake mazito na muhimu sana kwa chama na serikali, effectively and with efficiency π
Yes,Lucas yupo kwenye mikono Salama..!
Mkuu! Mbona kama unatufungisha ndoa sasa? Lucas wangu ni team kataa ndoaYes,
that is it ππͺ
coz, behind a successful and able gentleman there must be a beautiful lady with brain....
thank you very much for positioning yourself beside a very active comrade Lucas Mwashambwa and a responsible lady ...
for that one,
every one of us, must apriciate and congratulate your commitments π
Hapo kilimanjaro vipi baridi ikoaje? πHaha mkia eti?uwii vijana mna msamiati sana, sina mkia mimi sio meee
Yes,Jukwaa la JF Intelligence ndio lilinifanya nijiunge JF.
Jukwaa hilo limenifanya niwe hivi nilivyo leo, na kama mbeleni nitakua zaidi ya hivi nilivyo basi ni kwa ajili ya jukwaa hili.
Lina mchango mkubwa maishani mwangu. Ila kwasasa lishakufa
Iko fresh guuder kabisa,tumeshalizoea πHapo kilimanjaro vipi baridi ikoaje? π