Jukwaa la habari msitafute mchawi, Chanzo kikubwa cha vyombo vya habari kufa ni kukosekana "Habari za kiuchunguzi"

Nasubiri media fulani zife kabisa yale majengo yao nikafugie huko kuku wa nyama coz nowadays ni blaablaa
 
Media zinakufa sababu ya technology

Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu

ni kweli lakin kwa case yetu sisi hapa kuna zaidi ya hilo, ndio maana magazeti km mwanaspoti hayajaathirika sana km haya magazeti ya habari za kawaida, kwa upande wa television wengi walikua wanapenda kuangalia habari ITV lkn leo hawapendelei tena ukiwauliza sababu na uhakika haitakuwa internet
 
Hata Mimi na kataa maoni yao,wamejichimbia makaburi yao wao wenyewe kwa mkondo wa utoaji habari waliouchagua.Wajiandae na maziko ya vyombo vingine vingi vya habari kama hawatafanya tathimini ya kweli na kujirekebisha.
 
Kwa utaratibu wetu yakwetu yote tutayazika siku sii nyingi.
 
Anayebisha hii fact atangulie hapa Dodoma mirembe. Nilikua nanunue sana gazeti la mwananchi kabla ya uchanguzi wa 2015. Baada ya uchaguzi wa 2020 nimeacha hata taarifa za habari za vyombo vya Tanzania.
 
Wakitoa habari za uchambuzi na kina wanaitwa wachochezi, sababu hatutaki kusikia ukweli...




Cc: mahondaw
 
Media zinakufa sababu ya technology

Mtasingizia kila kitu
Uchawi ni internet tu
Sio kweli we denzel washington.marekani na uk mitandao ilianzia kule but magazeti yanauzwa sana.google circulation ya the washingtone post kwa siku ni nakala ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…