Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kupata ufafanuzi wa mamlaka soma hapa: Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini yatoa ufafanuzi maji kukosekana vyooni, wasema mchukua video hakufungua bomba vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu? Si amesema ukweli? Au ukweli ni dhambi siku hizi?Hii itamkost dudu baya
Mamlaka ya JNIA Dar es Salaam na TAA imeshindwa kuchimba kisima kirefu wajitegemee maji.
Au wanamsubiri mama anayetwishwa kazi zote Tanzania atoe tamko kazi ya kuchimba kisima iendelee, halafu watoe sifa kwa mheshimiwa rais kwa kutoa fedha mfukoni.