Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Bila kusahau mpira wa Simba na Yanga.Tumejaza watu incompetent karibu kila sehemu. Hawawezi kufikiri maana hawana uwezo huo. Wao ni siasa na kupiga majungu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau mpira wa Simba na Yanga.Tumejaza watu incompetent karibu kila sehemu. Hawawezi kufikiri maana hawana uwezo huo. Wao ni siasa na kupiga majungu tuu
Uwe unajisaidia kwenu yaani unafunga safari toka nyumbani kwako hadi Airport kwenda kujisaidiaView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Kwa hii serikali sema haizidi milioni 300.Hii ni aibu na fedheha Kubwa.... Kuchimba kisima kirefu haizidi hata milioni 30....
Ukiwaona wanavyovimba kwenye LC300 series huwezi amini kwamba hata kusimamia koki zitoe maji 24/7 kwenye eneo critical kama Airport ni kazi ngumu sana kwao.Hii nchi kuna watu wa hovyo sana wamepewa majukumu ya maana. Hopeless kabisa.
Hahahahah miaka wapi, ni baada ya miezi 10 tu Chinua Achebe anahusika😂Wengine tumewakabidhi treni mpya na station zake mpya, subirini baada ya miaka michache kama hata viti vya treni vitakuwa na foronya.
Hahahahahah wanashindwa ustaarabu na bankNilkua naamini airport ndo sehemu ambapo kila kitu kiko standard
Eeh hapo hukawilii kusikia Dudu Baya aka Mamba kaokotwa Katavi akiwa hajitambui. Tuna system ya hovyo sana "Reactive" kwa kila kitu.Kitakachotokea hapo wataanza kudeal na mtoa taarifa baada yakulifanyia kazi tatizo.
Hakuna cha laana bana, shida ni incompetence na Nepotism. Mtoto wa dada, mkwe, mjomba, binamu, family friends ndio kibao n.k.Waafrica ni kama tuna Laana...hata iyo Treni ya SGR nyie subirini itakata upepo siku sio nyingi...Hakuna tunaloweza zaidi ya kukata viuno.
Sasa si ndio laana yenyewe iyoHakuna cha laana bana, shida ni incompetence na Nepotism. Mtoto wa dada, mkwe, mjomba, binamu, family friends ndio kibao n.k.
Unamuweka mkweo kwenye kitengo critical wakati hana uwezo unambeba beba tu mwishowe unaumbuka maana ku deliver hawezi anaishia tu kukufedhehesha na unaogopa binti yako atatunzwaje kama mumewe ukimtimua kazini.
Tatizo kubwa hatupendi kuambiwa ukweli wala kuukubali. Bongo ukiongea ukweli na kutokuwa mnafiki unakuwa adui wa wengi ambao hawapendi mabadiliko to the extent wapo radhi wakatishe hata uhai wako.
Ni roho za kisokolokwinyo tuSasa si ndio laana yenyewe iyo
Huenda wametumwa ili watafute kisingizio na uwanja wakabidhiwe DPWView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Na hili nalo watasingiziwa Nape na JanuaryView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Kama wamerekebisha hongera. Ila wasiseme ipuuzwe kwasababu maji ni kweli yalikuwa hayatoki na wametoa sababu.
Asee ni huzuni sasa utavutiaje watalii? Unatengeneza movie ya loyal tour halafu airport sio safi sasa hao watalii watavutuwaje kuangalia fisi na hamna airport safiHahahahahah wanashindwa ustaarabu na bank
Wameshindwa hata kuweka ndoo ya maji na kikombe cha kunawia,mbona wangetualewa tu kuwa kuna mgao wa maji...?View attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Wengine tumewakabidhi treni mpya na station zake mpya, subirini baada ya miaka michache kama hata viti vya treni vitakuwa na foronya.
Kazi yao kula bata tu mafisadi hawa kiukweli Mama anaonelewa sanaIla Mama Mnampa wakati mgumu.Ana wasaidizi kibao ila hawamsaidii kwa lolote na chochote.
Kila baya lake kila zuri lake.