Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
Bora usinge coment, akili kama hizi ndo zinafanya gen z waonekane dead body, sababu kubwa ni kurithi ujinga badara ya issue za msingiHii itamkost dudu baya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora usinge coment, akili kama hizi ndo zinafanya gen z waonekane dead body, sababu kubwa ni kurithi ujinga badara ya issue za msingiHii itamkost dudu baya
Wazungu hawatumii maji, hawawezi kushangaaView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Kazi ipo.Bila kusahau mpira wa Simba na Yanga.
Waziri wa uchukuzi ni nani?View attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Qui facit per alium facit per seIla Mama Mnampa wakati mgumu.Ana wasaidizi kibao ila hawamsaidii kwa lolote na chochote.
Kila baya lake kila zuri lake.
Hivi swala kama hili linafwataje ngazi mpaka lifikie ofisi ya Raisi? Manaa naona kila kitu mpaka Mheshimiwa Raisi atajwe duh!View attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Ndugu acha kabisaa yaoinikuta wiki iliopita nishaashushq mzigoo hatare nilichosaidiwa na mkaka mmoja Allah amsaidie wèwew toka sikuhio nikifika choon naflash kwanza yakitoka nashusha cementView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Tuseme labuda (kwa sauti ya brother K) maji yalikatika kweli kwa dkk 5 je mtu akae muda wote huo bila maji na yaliporudi haraka kama wasemavyo yalikuwa na pressure ndogo je mpaka tank la kuflush lijae ili usukume mzigo si ilichukua hata 30minWameshindwa hata kuweka ndoo ya maji na kikombe cha kunawia,mbona wangetualewa tu kuwa kuna mgao wa maji...?
Kukosekana maji Dar es Salaam ni aibu sana kwa serikali kwa jumla; hatuwezi kuwa na jiji ambalo kila mtu ana kisima chakeMamlaka ya JNIA Dar es Salaam na TAA imeshindwa kuchimba kisima kirefu wajitegemee maji.
Au wanamsubiri mama anayetwishwa kazi zote Tanzania atoe tamko kazi ya kuchimba kisima iendelee, halafu watoe sifa kwa mheshimiwa rais kwa kutoa fedha mfukoni.
Kivipi?Hii itamkost dudu baya
Mavi huleta aibu sanaView attachment 3051135
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona maji hakuna katika vyoo ni kitendo cha aibu sana kwa nchi yetu inayo tegemea sana Bishara ya Utalii na Watalii wakija watakwenda kutusema makwao wakirudi ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu.
Ila Mama Mnampa wakati mgumu.Ana wasaidizi kibao ila hawamsaidii kwa lolote na chochote.
Kila baya lake kila zuri lake.
Amezidi kupokea sifa asizostahili,kila kitu mama ametufikisha,hata suono moja la choo Mama Samia asante! sasa wacha apokee na lawama ndogo ndogoWatu wema hawafi!!
Kukosekana maji Dar es Salaam ni aibu sana kwa serikali kwa jumla; hatuwezi kuwa na jiji ambalo kila mtu ana kisima chake
Hayo ndiyo Gen Z wa Kenya wametufundisha kuwa hatuwezi kuiacha salama serikali isiyotekeleza wajibu wake kwa WAN’a nchiNawapongeza wakazi wa Dar es Salaam wengi wachimba visima vyao na kuweka solar power panel ktk majumba yao wafurahie maisha baada ya kuona jinsi serikali ilivyofeli ktk eneo la kuwapatia maji na umeme wa kutosha.
Taasisi zingine nazo zinatakiwa kujiongeza wakati serikali bado inajiburuza kutatua masuala ya maji.