The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Mama aongeze makali kidogo hasa kwa watumishi wazembe wazembe.Mamlaka ya JNIA Dar es Salaam na TAA imeshindwa kuchimba kisima kirefu wajitegemee maji.
Au wanamsubiri mama anayetwishwa kazi zote Tanzania atoe tamko kazi ya kuchimba kisima iendelee, halafu watoe sifa kwa mheshimiwa rais kwa kutoa fedha mfukoni.
Hata choo cha ndege siyo kwa ajili ya kunyakunya hovyo, ni short call.Subiri uingie ndani ya ndege uende chooni
Kila jambo jema shukrani anapewa Rais, sasa hata upumbavu wowote pia Rais ni lazima ahusishwe.Mama aongeze makali kidogo hasa kwa watumishi wazembe wazembe.
Kila kitu kumuaddress raisi ni kuitia aibu kamati ya uteuzi kua inateua magarasa.
We jamaa umeshindwa kutumia Tafsida aisee.Hata choo cha ndege siyo kwa ajili ya kunyakunya hovyo, ni short call.
Tafsida ya nini? Msiende kunyakunya hovyo ndani ya ndege, wengine mkishaingia chooni mtu mwingine hawezi kuingia kwa harufu mnayoacha chooni.We jamaa umeshindwa kutumia Tafsida aisee.
Mbona Dar water table iko karibu sana?Dar kwenye swala la maji hamna tofauti na baadhi ya vijiji ..