Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Mzungu hajawahi shindwa jambo akiamua!


Tuwe makini na watoto wetu
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Na hili nalo mkalitazame
 
Mm sioni kosa ktk hili. Msimamo wa Museven ulipaswa kuwa ni kutoruhusu ndoa za jinsia moja basi. Lkn kitendo chake cha kuwanyima hata haki ya kupanga nyumba, na kwamba mwenye nyumba atakayewaoangisha ashughurikiwe pia. Nadhani it is too much

Kuendesha adhabu ama mauaji dhidi ya kundi au kabila fulani ni mateso ama mauaji ya kimbali (genocide).
Museveni yupo ikulu tangu 1986 mpaka leo hii, anatafuta kuendelea kukubalika kama rais, ingawa anaonekana hajali kuhusu yeye kuitwa dikteta na jamii za kimataifa.
 
Mm sioni kosa ktk hili. Msimamo wa Museven ulipaswa kuwa ni kutoruhusu ndoa za jinsia moja basi. Lkn kitendo chake cha kuwanyima hata haki ya kupanga nyumba, na kwamba mwenye nyumba atakayewaoangisha ashughurikiwe pia. Nadhani it is too much

Kuendesha adhabu ama mauaji dhidi ya kundi au kabila fulani ni mateso ama mauaji ya kimbali (genocide).
Hata Mimi nyumba yangu sipangishi senge asilete laana
 
Malema kama Tundu tuu
Halafu wanataka kuwa watawala[emoji849][emoji849][emoji849]

Watasubiri sana
Ulimsikia vizuri tundu lisu
Kwani alikuwa anaunga mkono
Ushoga,tatizo nyie vita vyenu vya ushoga ni vya kinafki

Ova
 
Ulimsikia vizuri tundu lisu
Kwani alikuwa anaunga mkono
Ushoga,tatizo nyie vita vyenu vya ushoga ni vya kinafki

Ova


Nilimsikia
Alisema serikali haitakiwi kuingilia faragha za watu wanazofanya vyumbani

Nikamuelewa
 
Narudia kauli kwa nia njema tu.
Fanyaneni wenye kwa wenyewe nyie wakubwa, tena kwa siri, ili watoto wetu wasione na kujifunza kwenu.
Msiwashawishi watoto wetu wawe kama nyie.
Tongozaneni tu na muendelee na mambo yenu katika Privacy. Hakuna shida hapo.
Sisi hatutaki mnavyojitangaza tu basi, ili kuwalinda watoto wetu na kizazi kijacho.
Hii ni kutokana na maelekezo ya Katiba yetu wenyewe.
TUMEELEWANA HAPO
 
Hili jitu bwege kweli kumbe ni walewale wanao taka pesa za KIKUNDI CHA MASHOGA NA WASAGAJI TU, yaani nimelichukia kweli kweli [emoji2959]
 
Nilimsikia
Alisema serikali haitakiwi kuingilia faragha za watu wanazofanya vyumbani

Nikamuelewa
Mkuu wa mkoa fulani alikuwa anaukemea ushoga,usiku yuko nao
Hadi kwenye mashuguli
Leo wee hapo weka kikodoro uone
Mashoga watajaa top na mrajumuika nao mnaserebuka
Media zenu,wasanii wenu wote wamejaaa na wanaunga mkono ushg
Yule comedian wenu bongo miaka nenda rudi Ana act ushg na nyie mnakaa mnamfatilia.......huku mkishangilia
Mtaerewaaaaa tuuuuuuu

Ova
 
Mkuu wa mkoa fulani alikuwa anaukemea ushoga,usiku yuko nao
Hadi kwenye mashuguli
Leo wee hapo weka kikodoro uone
Mashoga watajaa top na mrajumuika nao mnaserebuka
Media zenu,wasanii wenu wote wamejaaa na wanaunga mkono ushg
Yule comedian wenu bongo miaka nenda rudi Ana act ushg na nyie mnakaa mnamfatilia.......huku mkishangilia
Mtaerewaaaaa tuuuuuuu

Ova

Kwahiyo huyo ni sawa na tundu anayesema asiingiliwe faragha zake 😆😆😆😆😆
 
Lema na Lisu ndio wanayoyataka hayo
Mbona watetezi wa ushoga Tanzania wanajulikana?!
 
Back
Top Bottom