Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286


Halafu Mungu akiwakataa wanalalamika
Malema ajue akiwa yeye shoga asitake iwe halali kwa kila mtu. Wa hovyo sana
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Eti nimemvua, wewe kama nani? Elimu yako itakuwa ndogo na umetawaliwa na uamini wa dini
 
Mm sioni kosa ktk hili. Msimamo wa Museven ulipaswa kuwa ni kutoruhusu ndoa za jinsia moja basi. Lkn kitendo chake cha kuwanyima hata haki ya kupanga nyumba, na kwamba mwenye nyumba atakayewaoangisha ashughurikiwe pia. Nadhani it is too much

Kuendesha adhabu ama mauaji dhidi ya kundi au kabila fulani ni mateso ama mauaji ama mateso ya kimbali (genocide).
Na huku tunataka kufanya kama Mseveni!! Malizia deni la pango la nyumba uondoke
 
Kama ni kweli nimemvua nyota zote huyu mshikaji.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Mashoga na wasagaji ni constituency kubwa huko Africa ya Kusini hivyo hawa wanasiasa wanajaribu kuwa karibu nao ili wasikose kura zao wakati wa uchaguzi!!
Hivyo hivyo huko marekani ,hawa mashoga wako wengi sana kiasi kwamba wanaweza kusababisha chama kushinda au kushindwa uchaguzi!! Nakumbuka wakati wa uchaguzi kule Marekani Baraka Obama kwanza alikuwa hawakubali hawa mashoga lakini ilibidi awakubali baada ya Biden kugundua kwamba wasingewakubali wangepoteza kura zao!
Hivyo kwa wanasiasa hasa kwenye nchi zenye mchanganyiko wa races ni lazima waangalie impact ya hawa waliokengeuka kwenye chaguzi zao!!
Sisi tubaki na utamaduni wetu wa mwanaume kuwa mwanaume na mwanamke abaki kua mwnamke basi!
 
Huyu ni mwenzenu wana chadema huyu ni kioo cha wa na demokrasia duniani uhuru wa mashoga ,hii ajenda kwa wanademokrasia sio kosa labda wewe kichwa maji kama hujui


USSR
mashoga mmeachwa baada ya makamu wa mashoga kuwatembelea ikulu jitokezeni tuwasukumie moto moshoga nyinyi na ccm yenu.
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Kumbe naye msenghe,,!
 
Mwamba wa PUTIN
 

Attachments

  • Screenshot_20230406-191746.png
    Screenshot_20230406-191746.png
    105.2 KB · Views: 2
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini.

Ukiona mwanasiasa anapigania kitu basi ni kwa maslahi yake binafsi. Hakuna mtu yeyote aliyekuwa kwenye siasa akawa mzalendo wa kuwazia wengine zaidi ya nafsi yake.

Kapitishiwa ruzuku yake na wahamasisha ushoga ndio leo unamuona anaandamana kuwatetea.

Usistaajabu kesho ukamuona na gauni na kujitangaza ni shoga ikiwa kapewa kiasi sahihi anachohitaji.

Kwasasa ushoga ni fursa kama unavyoona Crypto currency. Wazee wa fursa wanautumia kunufaika.
NI HAYATI JPM TU NDO ALIKUWA MTETEZI WA WANYONGE. ALIJITOA KAFARA KWA AJILI YA NCHI YAKE!
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Achana nayo mkuu...

Pigania Familia yako mkuu..
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    37 KB · Views: 2
  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.5 KB · Views: 2
Naogopa sana kasi ya shetani duniani kwa sasa
Hivi kweli wanamaanisha au Mimi ndo sielewi wanachotetea
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Mambo ya haki ni ya kisenge so mtu anataka apewe haki ya kupigwa p*umbu. Aisee dume unataka upigwe miti kweli?????????? Anyway Kila mtu ana haki zake coz hata mm ukinilazimisha nisinywe bia wakati mi napenda LAZIMA NIRUKE NA WEWE
 
Huyu ni mwenzenu wana chadema huyu ni kioo cha wa na demokrasia duniani uhuru wa mashoga ,hii ajenda kwa wanademokrasia sio kosa labda wewe kichwa maji kama hujui


USSR
Unapenda hizi mada wewe ni memba wa upinde....
 
Labda kwa vile katukana watu anajifanya chizi ili asiende ndani.
Pilipili iliyoko shambani inamuwasha vipi? Mambo ya Uganda yanamhusu nini?
 
Halafu Mungu akiwakataa wanalalamika
Malema ajue akiwa yeye shoga asitake iwe halali kwa kila mtu. Wa hovyo sana
Jamani tuongee yote lakini tutambue kuwa hii ni vita Kali Sana Tena vita ya uchumi, kuhusu malema ni kwamba ,, "he who feeds you controls you". Thomas Isdore Sankara ✍️✍️
 
Back
Top Bottom