Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
nyie si mnaonaga wapinzani wote akili zimetimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielwei kwanini umfunge mtu kwa ajiri yeye ni shoga, Malema yuko sawa, hakuna haja ya kuwaonea mashoga, wengi ni ndugu zetu na rafiki zetu na wamezaliwa hivyo hakuna namna ya kuwabadilisha
Ata mi nashangaa sana mana hivi karibuni alisema wao South Africa watampokea Putin na kumlinda muda wote akitaka kuitembelea South Africa kuhusu tishio la Putin kukamatwa na nchi wanachama kukabidhiwa ICCYani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
Achunguzwe malema isijekuwa na yeye binafsi ni mtu wa upindeAfadhali malema hakuonesha unafiki juu ya ushoga kama mwanasiasa. Sasa kama nchi yake inaukubali ushoga yeye ni nani hata aupinge wakati anatumaini la kuwa rais wa nchi hiyo yenye raia wazungu wenye asili ya ulaya ushoga unakokubaliwa? Anacheza na siasa za kimataifa acha ajitoe ufahamu
Nadhan Malema na aila zao wakaishi huko LGBT countries, tuna mashaka nayeMalima ni akili kubwa, amechunguza kwa makini kuhusu "haki za binadamu"
Wewe ukishawishiwa utakubali?
Labda nawe umo ila unapitia mlango wa nyuma kushadadia.Hapana mkuu usiseme hivyo kwasababu inanishangaza sana nini kimemtokea huyu mwamba? Hii siyo mila desturi ya Mwafrika ukizingatia malema hapendi chochote kutoka magharibi.
Halaf acha mambo ya kunihusisha na hayo mambo. Sijafurahishwa
Siamin kama malema anawezaa fanyaa Ivyoo.Hapana mkuu usiseme hivyo kwasababu inanishangaza sana nini kimemtokea huyu mwamba? Hii siyo mila desturi ya Mwafrika ukizingatia malema hapendi chochote kutoka magharibi.
Halaf acha mambo ya kunihusisha na hayo mambo. Sijafurahishwa
Watu wamekalia ubishi na ujinga wa kulaani watu wanaotoa maoni yao kuhusiana na Ushoga lakini hakuna anajitolea kuelimisha wananchi wake kuhusu madhara ya kuwa shoga...kama utaki kuelimisha wananchi basi ukae kimya make wanavyoitajataja ndo inazidi kushamiri.Mnaupa promo na huu ndo ukweli.
Ninavyojua Mimi Huwa hakuna mkate mgumu mbele ya Chai.Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
Julius malema ni opportunist sana
Ata mi nashangaa sana mana hivi karibuni alisema wao South Africa watampokea Putin na kumlinda muda wote akitaka kuitembelea South Africa kuhusu tishio la Putin kukamatwa na nchi wanachama kukabidhiwa ICC
Anamsapoti putin ambaye anapinga ushoga lakini sasa yeye anakuja kuunga mkono ushoga sijui ni kitu gani kimemkuta huyu jamaa
Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
Akili kubwa kuunga mkono ma bofloNilisema Malema ni akili kubwa nikatukanwa na jamaa mmoja. Huyo jamaa sikujibizana nae.
Nazani na wewe ni PapaiAna haki asikilizwe
Atakuwa Papai huyoBoya kweli