Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Julius Malema anaongoza maandamano kuunga mkono ushoga na usagaji na kumpinga Rais Museveni

Waafrika mnapigwa changa la macho na habari za ushoga, wakati watu wanawaibia waiwazi mpaka CAG anashindwa kuhesabu wizi!
Kwani mkuu si tulikubaliana mama anafungua nchi?

Jana nimesoma mahali Kuna magari yenye thamani ya bilioni kumi na nane yaliagizwa kutoka Japan kwa hela ya Corona ile trillion moja na nusu,Hadi Leo halijafika hata gari moja.
 
Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.

Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.

Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?

IMG_7888.jpg
 
Sielwei kwanini umfunge mtu kwa ajiri yeye ni shoga, Malema yuko sawa, hakuna haja ya kuwaonea mashoga, wengi ni ndugu zetu na rafiki zetu na wamezaliwa hivyo hakuna namna ya kuwabadilisha
 
Kwani mkuu si tulikubaliana mama anafungua nchi?

Jana nimesoma mahali Kuna magari yenye thamani ya bilioni nane yaliagizwa kutoka Japan kwa hela ya Corona ile trillion moja na nusu,Hadi Leo halijafika hata gari moja.
Mkuu please naomba iyo linki
 
Anachokifanya huyo jamaa wakuitwa malema ndicho anachokifanya wakuitwa laila odinga kule kenya,nikuharibuharibu tu mambo kwa manufaa yao binafsi, mikataba iliofanyika juzi kati kati kati ya uganda na souh africa ndio imemuibua huyu jamaa kutoka alikotoka...siasa ni mchezo unaonuka
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Demon CRASIE!!!

Putino aungwe mkono.

Malema azamishwe.
 
Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.

Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.

Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
Ushoga sio tamaduni zetu waafrika ni wakuupinga Kwanguvu zote. Lakini na wewe ilikuwaje ukakubali utamaduni WA wazungu na waarabu (UKRISTO NA UISLAM) mbona kama sio tamaduni zetu ?
 
Mshenzi kweli kweli walahi
Nilikuwa namsifia kumbe ni jitu la kupumuliwa dadadeki zake[emoji2959]
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
bado Lissu...
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Hata mimi nimesikitika sana. Dikutegemea mtu kama malema kuwa upande ule kwenye hili tatizo.
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Mtu anaamua mwenyewe matumizi ya kitobo chake Cha nyuma harafu mwingine anachukia Sasa hapo tunawasaidiaje?
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Julius Malema is fucking stupid.
Hatukumkomboa ili awe shoga!
 
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.

Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.

Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.

View attachment 2576286
Huyu jamaa huwenda akauwawa na watu wenye hasira kali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom