Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Odinga huyu huyu akipewa anachotaka anaufyata.Hapa Afrika mpinzani wa kweli, odinga tu.
Jana alikuwa ikulu na maandamano hayakufanyika.
Hakuna mwanasiasa mkweli hata mmoja duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Odinga huyu huyu akipewa anachotaka anaufyata.Hapa Afrika mpinzani wa kweli, odinga tu.
Kwani mkuu si tulikubaliana mama anafungua nchi?Waafrika mnapigwa changa la macho na habari za ushoga, wakati watu wanawaibia waiwazi mpaka CAG anashindwa kuhesabu wizi!
Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
Kwahiyo muachwe kwakuwa ni haki yenu ya kibinadamu si ndio!?Malima ni akili kubwa, amechunguza kwa makini kuhusu "haki za binadamu"
Mkuu please naomba iyo linkiKwani mkuu si tulikubaliana mama anafungua nchi?
Jana nimesoma mahali Kuna magari yenye thamani ya bilioni nane yaliagizwa kutoka Japan kwa hela ya Corona ile trillion moja na nusu,Hadi Leo halijafika hata gari moja.
Siyo odinga ,wananchi wakenya no wahusika wa hii,tulikuwa na mpinzani mwiba hapa tundulisu,Hapa Afrika mpinzani wa kweli, odinga tu.
Demon CRASIE!!!Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Ushoga sio tamaduni zetu waafrika ni wakuupinga Kwanguvu zote. Lakini na wewe ilikuwaje ukakubali utamaduni WA wazungu na waarabu (UKRISTO NA UISLAM) mbona kama sio tamaduni zetu ?Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?
bado Lissu...Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Hata mimi nimesikitika sana. Dikutegemea mtu kama malema kuwa upande ule kwenye hili tatizo.Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Mtu anaamua mwenyewe matumizi ya kitobo chake Cha nyuma harafu mwingine anachukia Sasa hapo tunawasaidiaje?Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Julius Malema is fucking stupid.Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Huyu jamaa huwenda akauwawa na watu wenye hasira kaliKiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286