Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aje afirwe mtoto wako wa kiume au akuletee basha wake nyumban ndo utajua hayo maumivu yakojeMtoto akililia wembe mpe, afirwe mwingine maumivu nipate mimi hivi hii inakuwaje hasa?
Wenzenu wamepevuka uchafu ni uchafu usafi ni usafi...Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza waandamanaji kumpinga Rais wa Uganda, Yoweri kufuatia kutungwa kwa sheria inayozuia masuala ya mapenzi ya jinsia moja nchini Uganda.
Malema na anaowaongoza katika maandamano wamebeba mabango yanayoonesha haki za "mashoga na wasagaji" ni haki za binadamu na inapaswa waheshimiwe.
Leo nimemvua Malema nyota zote na heshima zote nilizowahi kumpa.
View attachment 2576286
Sasa ww na malema kuna tofauti gani huna mambo ya maana kuandika mpk uupe ushoga promo!!?Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimetokea jamani?
Hapana mkuu usiseme hivyo kwasababu inanishangaza sana nini kimemtokea huyu mwamba? Hii siyo mila desturi ya Mwafrika ukizingatia malema hapendi chochote kutoka magharibi.Sasa ww na malema kuna tofauti gani huna mambo ya maana kuandika mpk uupe ushoga promo!!?
Huyo hana lolote kuharibu mali za watu tuHapa Afrika mpinzani wa kweli, odinga tu.
Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini.Yani inashangaza mtu kama Malema kuunga mkono ushoga.
Julius Malema mwenyekiti wa chama cha upinzani Africa kusini EFF Economic Freedom Fighters leo ameitisha maandamano ubalozini wa Uganda Afrca kusini kupinga sheria kali ya ushoga itakayopitishwa na bunge la Uganda.
Cha kushangaza huyuhuyu Malema yuko mstari wa mbele kupinga kila kitu cha mabeberu imekuaje kalainika kiasi hiki hadi atetee ushoga kwa nguvu zote? Ni nini kimemtokea na kumpata jamani?