Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

acha kujitoa akili na hizi diversion tactics, unaleta mbanga za waisrael ukipinga uhalifu wao, wanakulabel antisemite. Hakuna mtu mwenye shida na utajili wake, bali wizi wa mali za umma na wakihojiwa, madalali wanufaika wa michongo yao kama wewe, mnatetea kuwa watu wanachuki na matajiri. Yule chenge watu wakihoji wizi wake, ndio inakua wanamchukia kisa yeye tajiri. Mtu anayemtetea fisadi kama wewe mnapaswa kuchukiwa na kuadhibiwa vikali.
Ok sawa twende kwa hoja mkuu wangu..
UFisadi wake ni upi?

Nitajie ufisadi wake alioufanya mwaka 1995..
Na pia nitajie ufisadi wake alioufanya Muda wowote ule..

Kujiuzuru kwa ajili ya kuwajibika ni mawaziri na viongozi waadilifu pekee hufanga hivyo..

Kipindi cha Mwalimu watuhumiwa wengi sana walikufa walipokuwa wamewekwa mahabusu..
Kitemdo kile kilifanya Ali hassan mwinyi ajiuzuru uwaziri wa Mambo ya ndani..

Unataka kusema mwinyi aliwaua Mahabusu yeye?

Jifunze kuna kitu kinaitwa Accountability ni kuwajibika kutokana na nyadhifa uliyopo..

Tanzania ya Sasa inakosa uadilifu na accayntability..

Na ndo maana sishangai watu wanahoji kuhusu Lowasa kujiuzuru kama angebaki ingechafua Taswira ya Rais..

Umewahi kujiuliza kwanini Nyerere aling'atuka (Kujiuzuru urais) na Kuacha Tanzania?
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Mkuu embu bold haya maelezo ili kila mtu asome mara kumi kumi na kuelewa huu ukweli.
 
Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
View attachment 2903529
Nyerere alimpitisha mkapa kibabe mbona iko wazi
 
Sio kweli nyerere alijitoa kwenye maamuzi alikuwa mshauri tu. Na kama angekuwa anaamua lowasa jk wasingekuwa mawaziri awamu ya mkapa
Ilikuwa ni Vigumu kumkwepa Lowasa kipindi hicho na kikwete kwa sababu walikuwa Wana watu wengi na makundi mengi ndani na nje ya Chama..

Kwahyo ili kupunguza makundi na maswali mengi ilibdi kuwapa hivyo vyeo kuwapoza watu..
Na ndo maana hata kina Msuya pia mshindi wa tatu nao walipewa uwaziri
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huwa sio hisia idara nyeti inakua na full details anazopewa Rais, kukushitaki ni maamuzi ya mtawala
 

Attachments

  • 1697885047849.jpg
    1697885047849.jpg
    98.5 KB · Views: 3
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kijana ana pesa kuliko umri wake - Julius Nyerere 1995.
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Kwanini hamkumpeleka mahakamani kwa ushahidi ili afungwe jela?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom